Napenda mwanaume mwenye gari

Money Penny

JF-Expert Member
Jun 20, 2016
15,921
14,820
1588578246839.jpg
1588578246839.jpg
 
Huwa naenda zangu kununua mafuta sheli basi wadada wanafikir nina gari na ukizingatia nina kaufunguo kangu nakazungusha zungusha kwenye shahada kanapiga piga kelele...Ila hawajui tu huo ufunguo ni wa ghetto langu na mafuta yenyewe ni ya generator fulani hivi....Hapa nasubir mmoja ajichanganye nimtembezee moto
 
Back
Top Bottom