Napenda Kufahamu Wana JF

Napenda Kufahamu Wana JF

Siku hizi jf ukiwa offline siku kadhaa utaona uzi wa kifo chako duu kazi ipo chacha..

Loh!!

Na mimi inanibidi kila siku niwe hewani JF ili msije fikiri nimefariki.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Ukisoma thread za Gogle utagundua kuwa ni mtu anayependa sana attention..siwezi kushangaa nikisikia alitengeneza ID mpya na akajifanya anatupa habari kama mjombawake..ili aone reaction za watu
Kama uliota vile mkuu Gogle mwenyewe huyo hapo keshafufuka tayari nimeamini kuna watu wanatafuta kick kwa nguvu!
 
Last edited by a moderator:
Nataka kumfahamu huyu mwana jf Dinazarde ni nani? alizaliwa lini na wapi? alisoma shule/chuo gani? wapi?marafiki zake ni nani? ameolewa? kama ndio mme wake ni nani? anafanya kazi wapi? ana umri gani?
 
Last edited by a moderator:
Nataka kumfahamu huyu mwana jf Dinazarde ni nani? alizaliwa lini na wapi? alisoma shule/chuo gani? wapi?marafiki zake ni nani? ameolewa? kama ndio mme wake ni nani? anafanya kazi wapi? ana umri gani?

Weee ujue ili iweje!!!!!!!!"itakusaidia niniii!!!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: amu
Ha ha ha umaarufu unatafutwa kufa na kupona
yani mtu anajisingizia kafa ili awe maarufu duh hii mupya
 
Back
Top Bottom