Napenda Kufahamu Wana JF

Napenda Kufahamu Wana JF

Gogle alikufa wakati anagegeda alizidisha dose ya viagra
 
Last edited by a moderator:
Kwani moderators hawana namna ya kuthibitisha hili?

Via e-mails,.....

Last Activity haitoshi kuthibitisha kwani sometimes mtu anapotelewa na simu au anakuwa ameishiwa credits, Mods muwe na namna ya ku-monitor na kufuatilia suala kama hili hasa linapoletwa katika hadhira hii,.

Huyo mjomba wake mngetakiwa mumuulize maswali ya kutosha awapatie majibu ya uhakika na siyo guessing zisizokuwa na maana!!

Na nyie mnaokimbilia kuweka R.I.P mna akili sawa kweli? Who told you the guy is dead? Are assured?,..

Please Moderates tuondoleeni hii sintofahamu,..
 
Duu maskini sijui ni kipi kilimpata pole familia yao kwa kuondokewa na kijana mdogo

Alishapona kijana wa 25 yrs kabla ya kufariki.
Au alifariki na kidonda chake?
 
Back
Top Bottom