Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Kwa sasa nipo mjini tabora ambapo kabila kubwa la hapa ni mnyamwezi ila ndani ya mnyamwezi kuna watu wanaoitwa watusi .
Lakini pia inasemekana asili ya mnyamwezi ametokea ndani ya mtusi yaani mtusi ndio amemtoa mnyamwezi .
Kwa wale wenyeji wa tabora na wazawa wa tabora napenda kufahamu uhusiano kati ya mnyamwezi na mtusii .
Na je ni kweli chimbuko la mnyamwezi limetokea ndani ya jamiii ya mtusi haya wale ndugu zangu wa sikonge,urambo, uyui,kaliuwaa,mabama,usoke,nzega,usinge isevyaa karibuni sana mtupe elimu
Uhusiano wa mnyamwezi na mtusi.
Lakini pia inasemekana asili ya mnyamwezi ametokea ndani ya mtusi yaani mtusi ndio amemtoa mnyamwezi .
Kwa wale wenyeji wa tabora na wazawa wa tabora napenda kufahamu uhusiano kati ya mnyamwezi na mtusii .
Na je ni kweli chimbuko la mnyamwezi limetokea ndani ya jamiii ya mtusi haya wale ndugu zangu wa sikonge,urambo, uyui,kaliuwaa,mabama,usoke,nzega,usinge isevyaa karibuni sana mtupe elimu
Uhusiano wa mnyamwezi na mtusi.