Napenda kufahamu juu ya hawa mbuzi

Huwez pata 150 apo
Tena ni zaidi ya kilo 150
Wasome hao mbuzi utawajua vizuri
Sio utani ni wakubwa na huo uzito ni kweli
20181115_165820.jpeg
 
GreenMkulima Initiative mkuu hapo kwenye hizo picha umeweka breeds tofauti. Hiyo ya juu ni Kalahari red na hiyo ya chini ni Boer goat.
Kwa ushaui wangu, kwa kwa majina unayafahamu kama nilivyokutajia hapo juu,tumia smartphone yako,computer etc etc utapata elimu kubwa sana mtandaoni. KinachOhitajika tu ni uelewa wa lugha ya malkia.
 
Hao utawapata Nchi kama zambia na Malawi. Kalahari Red wapo sana nchini Zambia ambapo wanapatikana kwa wingi Namibia huko.

Hao Boer goat pia ni huko ila Kenya kuna kampuni inawazalisha.

Hao wote ni wa Nyama
 
Nimekuelewa sana, ila kuna mtu alikuwa anawatangaza kitambo kuwa anao na anauza, lakini alikuwa tapeli tu

Hawa mbuzi wanaitwa Boer means farmer
Na walipandikizwa miaka ya nyuma huko South Africa na sasa wanapatikana duniani kote hata Pakistan mpaka India na USA wapo.

Ni mbuzi wakubwa haswa na ni kwa ajili ya nyama.
Nilitamani kupata mbegu hiyo lakini nikagonga mwamba.
Tuwekee mawasiliano yao
Nimeattach picha moja hapo ina mawasiliano nyingine zilifutika. Ukipata muda nenda meru, siha, karatu wapo mpk vijijini ila wengi ni uzito wa 70-100kg asili yao ni Switzerland. Au ulizia makanisa ya kkkt kaskazini (wenye project) watakulink na wafugaji .

hudhuria maonesho ya 8-8 Arusha mwakani utawakuta kwa wingi na utanunua hapo hapo kwa bei tajwa.

Ufugaji wake ni wa ndani wanakatiwa nyasi hawatoki nje
 
Nimeattach picha moja hapo ina mawasiliano nyingine zilifutika. Ukipata muda nenda meru, siha, karatu wapo mpk vijijini ila wengi ni uzito wa 70-100kg asili yao ni Switzerland. Au ulizia makanisa ya kkkt kaskazini (wenye project) watakulink na wafugaji .

hudhuria maonesho ya 8-8 Arusha mwakani utawakuta kwa wingi na utanunua hapo hapo kwa bei tajwa.

Ufugaji wake ni wa ndani wanakatiwa nyasi hawatoki nje
Shukran sana
 
Ndio walishazaliana na sasa wanauzwa bei ni 150,000 kwa mtoto na wakubwa ni kuanzia 450,000. Wapo sana siha, mwanga, karatu. Wanazaa mapacha (guaranteed). Nitakutumia mawasiliano ya washiriki /wafugaji

Tafadhali weka bayana hapa tufaidike wengi wenye nia ya kufahamu hilo. Natanguliza shukrani.
 
Ndio walishazaliana na sasa wanauzwa bei ni 150,000 kwa mtoto na wakubwa ni kuanzia 450,000. Wapo sana siha, mwanga, karatu. Wanazaa mapacha (guaranteed). Nitakutumia mawasiliano ya washiriki /wafugaji
Ingependeza zaidi kama ugeweka mawasiliano hapa ili wote tufaidi.
 
Nimekuelewa sana, ila kuna mtu alikuwa anawatangaza kitambo kuwa anao na anauza, lakini alikuwa tapeli tu

Hawa mbuzi wanaitwa Boer means farmer
Na walipandikizwa miaka ya nyuma huko South Africa na sasa wanapatikana duniani kote hata Pakistan mpaka India na USA wapo.

Ni mbuzi wakubwa haswa na ni kwa ajili ya nyama.
Nilitamani kupata mbegu hiyo lakini nikagonga mwamba.
Tuwekee mawasiliano yao
Ukweli ni kwamba hawa mbuzi hapa hawapatikani. na kama utawapata watakuwa wamechakachuliwa ; watakuwa si pure bread.
Nilifatilia sna hadi chuo cha kilimo na mifugo lakini sikuweza kuwapata.

Aina ya mbuzi hawa wengi kwa sasa wanapatikana nchini Uganda lakini ukibahatika utapata 70% ya breed ya aina hiyo au 50% maana pia nao wamechakachuliwa.
 
Ukweli ni kwamba hawa mbuzi hapa hawapatikani. na kama utawapata watakuwa wamechakachuliwa ; watakuwa si pure bread.
Nilifatilia sna hadi chuo cha kilimo na mifugo lakini sikuweza kuwapata.

Aina ya mbuzi hawa wengi kwa sasa wanapatikana nchini Uganda lakini ukibahatika utapata 70% ya breed ya aina hiyo au 50% maana pia nao wamechakachuliwa.
Vipi kwa South Africa
Maana ukiwasoma huko ndio walikoanzishwa na kusambazwa duniani
Hata mimi nilitamani kuwafuga
Asante kwa hilo
 
Vipi kwa South Africa
Maana ukiwasoma huko ndio walikoanzishwa na kusambazwa duniani
Hata mimi nilitamani kuwafuga
Asante kwa hilo
Mkuu South Africa ndo nyumbqni kwa Boer na Kalahari red goats. Kwa hiyo huko ngo wapi na uzuri wake kuna wafigaji ambao wamesajiliwa kukupatia pure breeds.
Unaweza tu ku google boer goat breeders in South Africa,utapata maelezo ya wafugaji.
 
Mkuu South Africa ndo nyumbqni kwa Boer na Kalahari red goats. Kwa hiyo huko ngo wapi na uzuri wake kuna wafigaji ambao wamesajiliwa kukupatia pure breeds.
Unaweza tu ku google boer goat breeders in South Africa,utapata maelezo ya wafugaji.
Ubarikiwe sana
Nimewaona
Hivi hakuna aliewaleta na Tz?
 
Kuna mzee anao ila uzito huo sijui kama wanafika

Wanaridhika na hali na wanazaa mapacha,
Aliniambia mtoto aliyemaliza kunyonya ana muuza 80,000
Nikamwambia ngoja nikafikirie, nikasahau leo ndo naona hapa nakumbuka
 
Ubarikiwe sana
Nimewaona
Hivi hakuna aliewaleta na Tz?
Inawezkana kuwa wapo,ila cha muhimu kujiulza ni je washachakachuliwa au vipi ? Maana Tanzania sidhani kama tuna sajili pure breed ya wanyama.
Kwa wenzetu kama ukigundua kuwa amakuuzia mnyama aliyechakachuliwa unalipwa fidia ya maana sana.
 
Ubarikiwe sana
Nimewaona
Hivi hakuna aliewaleta na Tz?
Shida iko kwenye kuwaleta. nilijaribu kuwasiliana na baadhi ya wauzaji wa huko lakini nilipatwa na mashaka na response zao.
niliweka mawasiliano yangu kwenye si moja , hivyo nimekuwa nikipokea quotation kadhaa ambazo nahisi asilimi kubwa ni wapigaji.

Hivi juzi kati kuna mtu moja alinitumia mesejei kwenye simu akidati yeye ni mfanyabiashara ya kule ta hao mbuzi ila yuko Kenya.
 
Back
Top Bottom