Nape umegundua nini?

Nape umegundua nini?

Nicholas

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
25,260
Reaction score
7,217
Wana body kuna kitu imenishangaza..ghafla Nape kazimika na katokomea kabisa ktk vyombo vya habari na zile fujo za kushambulia CHADEMA huku akiwa na dharau kibao zimeyeyuka.

Vipi kajikuta kuwa yupo ktk hatari ya kisiasa na wakati wengine wapo mbali kabisa.

Aisee Nape umegundua nini aisee?
 
Wakuu unajua Nape anasemwa sana kama ni gamba lisilojitambua. Lakini kwa hakika Nape ni aina ya wanasiasa wasiopenda kufanya siasa za uvunjifu wa amani. Anachukizwa sana na siasa zonazofanywa na Mh. Mwigulu Lameck Nchemba. Ndio maana ameamua kukaa kimya amuache bwana Nchemba na timu yake wafanye hizo aina zao za siasa.
 
Labda kaamua kurudi kwenye fani;
ImageUploadedByJamiiForums1374198449.905894.jpg
 
...ukimstudy Nape vizuri utagundua ni mpinzani ambaye ana kahofu kwa Mungu, ni basi tu kuwa yupo CCM. Sasa hili la mikakati ya kishetani ya kuua wanaCDM kwa mabomu na kuwatungia kesi za uongo za ugaidi - Nape anaujua ukweli na kwa hofu aliyonayo kwa Mungu linamtesa sana - tofauti na Mwigulu ambaye sijui hata kama ana dini na kama ana dini nadhani huyo kiongozi wake wa kiroho anatakiwa afanye kazi ya ziada.
 
...ukimstudy Nape vizuri utagundua ni mpinzani ambaye ana kahofu kwa Mungu, ni basi tu kuwa yupo CCM. Sasa hili la mikakati ya kishetani ya kuua wanaCDM kwa mabomu na kuwatungia kesi za uongo za ugaidi - Nape anaujua ukweli na kwa hofu aliyonayo kwa Mungu linamtesa sana - tofauti na Mwigulu ambaye sijui hata kama ana dini na kama ana dini nadhani huyo kiongozi wake wa kiroho anatakiwa afanye kazi ya ziada.
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]

Mzee ni kweli nape wakati mwingine anaendesha siasa za ajabu lakini unamwona kabisa anahofu ya mungu, sio kama savimbi huo nimoto wakuotea mbali.
 
au kajichimbia anaandaa mashambulizi ya siku za usoni, ngoja tusubiri.
 
anatafakari, kama lowassa atakuwa mwenyekiti wa CCM hatma yake itakuwa ni ipi? mwenzake mwingilu mjanja anakula na kupuliza juzi alikuwa na mwenyekiti mtarajiwa kule mwanza wakichangisha pesa za wamachinga wa pale makoroboi.
 
Back
Top Bottom