Nape umegundua nini?

Nape umegundua nini?

Kazidiwa umaarufu na Mwigulu..Amenyoosha mikono juu..

Nape ni mstaarabu sana huwez kumfananisha na muuaji mwigulu, na ana hofu ya mung pamoja na kufanya siasa! mi namshauri kuliko kukaa ndani ya kundi la mafisadi na wauaji nape jiuzuli tutakuheshim sana Nape tunajua ni mpenda haki lkn siamin kama unaweza kutekeleza wajibu ukiwa ccm.
 
kwa zamu kuongea siyo kuropoka kama chadema mwigulu kwanza kuanzia mwezi wa kumi nape ataanza tena jipangeni.
 
kwa zamu kuongea siyo kuropoka kama chadema mwigulu kwanza kuanzia mwezi wa kumi nape ataanza tena jipangeni.

Kwa zamu ipi?? au nae anajiandaa kuandaa mkanda wa video wa Mwigulu na Shonza?!!!!ataanza akiwa
ameshavuliwa gamba na kujiunga na kambi ya EL au???kapoozeshwa kama maji ya mtungini chezeya EL
ha ha ha ha.......!!!!!!!!
 
Nape ana siasa za akili kidogo na sometimes ni mtu mwenye hoja za maaana na kahofu ka Mungu kidogo kamo japo si kiviiile...

Nachojua yeye na Mwigulu hawawezi kukaa wakafanya kazi pamoja.....
 
Nape amegundua siasa za majitaka hazikisaidii chama. Tofauti ya Nape na Mwigulu ni busara. Nape amejitathmini amegundua siasa Chafu (Gutter politics) zinazidi kukimaliza chama chake
 
[MENTION][JFMP3][/JFMP3][/MENTION]


Mzee anawaza maana masai wakimeru mori umepanda anakimbia km 250 kwa saa kuelekea mjengoni, nilazima nape awe mgonjwa.

nimecheka sana kwa hii spidi ya 250. So much fun kwenye jamiiforums
 
Au ndio kakaa pembeni anajisemea "Dogo kaingia kichwakichwa mjini".
 
nadhani anakishangaa chama kukumbatia na kugharamia siasa chafu za uchochezi na dhulma za mwnglu. hata sii nape pekee, mwnglu hana wafuasi wengi ccm. Pia anatafakari lipi alilokosea coz alitangaza nia nzuri ya kusafisha chma kwa kuondoa mafisadi na hakupewa sapoti ila mwngulu ktk siasa zake zinazoua chama anapata ufadhili...ni wakati wa kujaribu kuipa uhai CCJ.
 
Anakuja na list ya vigogo wa madawa ya kulevya...vile vile ataweka msimamo wa Chama kuhusu shutuma dhidi ya makada wake wanaohusishwa na uchafu huu mkubwa na unaotafuna nchi yetu kwa kasi ya ajabu
 
Anakuja na list ya vigogo wa madawa ya kulevya...vile vile ataweka msimamo wa Chama kuhusu shutuma dhidi ya makada wake wanaohusishwa na uchafu huu mkubwa na unaotafuna nchi yetu kwa kasi ya ajabu

Sasa hivi wanakiri kuwa CDM kwa ujumla wapo sahihi.Halafu watakuwa msafisha msigwa,kisha Nassari tena kuwa ni vizazi vya panya.Leo katibu kakiri
 
Back
Top Bottom