Nape Tunaomba Kuwajua Wenye CCM

Mwingereza

JF-Expert Member
Jan 21, 2014
1,110
2,736
Nape Nauye na January Makamba inasemekana ndio wajuzi wakubwa wa wale wanaokimiliki chama tawala cha CCM.

Kwa unyeyekevu mkubwa, tungependa kuwajua wamiliki wakubwa wa Chama chetu cha CCM. Je chama ni mali ya Wahuni wachache au wananchi. Hili ni swali gumu sana kwetu sisi wananchi wa kawaida
 
Nape Nauye na January Makamba inasemekana ndio wajuzi wakubwa wa wale wanaokimiliki chama tawala cha CCM.

Kwa unyeyekevu mkubwa, tungependa kuwajua wamiliki wakubwa wa Chama chetu cha CCM. Je chama ni mali ya Wahuni wachache au wananchi. Hili ni swali gumu sana kwetu sisi wananchi wa kawaida
Wenye Ccm hutoka chipukizi Kisha UVCCM Kisha UWT au jumuiya ya wazazi kama hujapitia hapo ww ni msakatonge tu
 
Nape Nauye na January Makamba inasemekana ndio wajuzi wakubwa wa wale wanaokimiliki chama tawala cha CCM.

Kwa unyeyekevu mkubwa, tungependa kuwajua wamiliki wakubwa wa Chama chetu cha CCM. Je chama ni mali ya Wahuni wachache au wananchi. Hili ni swali gumu sana kwetu sisi wananchi wa kawaida
CCM ni mali ya wahuni kama vile Job Ndugai,Humphrey Polepole,Lusinde,Musiba,Diamond,Makonda,Sabaya,Mwigulu Nchemba na wengine wengi.
 
Nape Nauye na January Makamba inasemekana ndio wajuzi wakubwa wa wale wanaokimiliki chama tawala cha CCM.

Kwa unyeyekevu mkubwa, tungependa kuwajua wamiliki wakubwa wa Chama chetu cha CCM. Je chama ni mali ya Wahuni wachache au wananchi. Hili ni swali gumu sana kwetu sisi wananchi wa kawaida
Wenye CCM ni wanachama wa CCM ukiondoa mazwazwa na Sukuma gang
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom