Nape, tuambie ufisadi wa Lowassa

Suala la LOWASA kujiuzulu u PM wake ilikuwa uwajibikaji kwa makosa ya walio chini yake... To me EL is millions away better than JK. So far what has he said about country total Blackout??? NOTHING!!! Absolutely NOTHING!!! But am sure kama EL angekuwa ndo PM then lazima kungekuwa na jambo la haraka la kupunguza mgao huu...!!! he is ACTION TAKER... Thus why aliwaambia Viongozi wachukue uamuzi mgumu wao wakamjibu POLITICALLY... They didn't get EL concept....

Kilichobaki ni kumuita FISADI pasi na kuthibitisha ufisadi wake... YES mshikaji wake RA kapiga PESA mingi sana katika dealz kibao... Kama walikua wote then ITS EL, RA and JK who knows deep inside what happened!! But so far namuona LOWASA kama mkombozi wa hali tuliyonayo... For now nchi hii inahitaji DICTATOR kind of leader ambaye anaweza weka mambo kwenye mstari... Mfano mdogo ni RWANDA... Coming few months wataanza safari za CHINA to KIGALI (RWANDA AIRLINES) via NRB and DSM later at the same time wanaijenga KIGALI everyday.... That is KAGEMA ambae kwa nyumbani hapa namfananisha na LOWASA....
unachekesha boy.. unachojaribu kufanya hapa ni kama vile umeenda mirembe dodoma then ukawapa wale wagonjwa wa akili mtihani.. lazima kutakuwa na wa kwanza na mwingine wa mwisho . but in generally wote ni wagonjwa wa akili
 
unachekesha boy.. unachojaribu kufanya hapa ni kama vile umeenda mirembe dodoma then ukawapa wale wagonjwa wa akili mtihani.. lazima kutakuwa na wa kwanza na mwingine wa mwisho . but in generally wote ni wagonjwa wa akili

Kama kucheka cheka... But ndo ukweli.... Kama unawaona wote ni vichaa huo ni mtazamo wako.... Thus why I wrote "TO ME EL IS MILLIONS AWAY BETTER THAN JK" Hapa nililenga Kimaamuzi.... sio kisiasa....!!! hata hao kina sita wamemuongelea NGELEJA kule Mbeya mpaka kufikia kutukana wabunge wengine wa CCM ambao hawakuwepo katika mkutano wa Mbeya NANUKUU KUTOKA mtandao wa (:: IPPMEDIA)

"Wabunge mnaotuona hapa ndio wabunge ndani ya CCM ambao tumekuwa tukifanya maamuzi kwa kutumia kichwa na sio tumbo, hii dhana ya chama kujivua gamba inawalenga wale wote ambao wamekuwa wakifanya maamuzi ndani ya chama na Serikali wakitumia tumbo badala ya kichwa," alisema Sitta.

Ukiisoma habari nzima utagundua bado ni minyukano katika serikali tuliyonayo... Wote tunajua kuwa TZ has a lot of POWER SOURCES but so far solution ni nini???? Hakuna anaetoa solutions ni kusengenyana na kupigana vijembe thus why nimerudi kwenye concet ya EL ya kufanya maamuzi.... And if u can keep on keeping on Loughin then its never my problem ila am trying to have my own positive axis of TRUTH.....
 
We kweli msemahovyo hivi ......
Ha ha ha haaaaaaaaaaaa! Nimecheka hadi nimetoka machozi... Nasema hovyo lakini ujumbe unafika mkuu. Na wewe si umepata ujumbe kwamba Lowassa si fisadi kama ambavyo Kikwete na wenzake wanajaribu kutuaminisha?
 
unachekesha boy.. unachojaribu kufanya hapa ni kama vile umeenda mirembe dodoma then ukawapa wale wagonjwa wa akili mtihani.. lazima kutakuwa na wa kwanza na mwingine wa mwisho . but in generally wote ni wagonjwa wa akili
Mtakatifu, hapa hujajibu hoja bado. Leta hoja, acha hizi story za sungura na fisi.
 
Well said mkuu. Kuna watu hawapendi kabisa kuambiwa ukweli huu. To me Lowassa ni mfano wa kuigwa. Utendaji na uwajibikaji wake ndio uliomponza Lowassa. Maana alikuwa anakwenda kwa kasi kubwa kuliko ile inayokubaliwa ndani ya chama cha magamba.

Utendaji wa kazi wa Lowassa kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu aliokua Waziri mkuu Pinda hajafika hata nusu kwa muda wote aliokaaa kama Waziri mkuu. Lowassa ni Jembe la kazi na alikua anawafunika vibaya wote hadi JK, nadhani waswas wao walijua jamaa angeomba kugombea Uraisi kabla JK hajamaliza Muongo wake mzima ndo maana wakamjengea Zengwe.
Sasa hivi tunaambiwa halmashauri zina hati chafu na bado wakurugenzi wanachekacheka tu kazi hawasimamishwi. Tukumbuke kipindi cha Sumaye na Lowassa tuliweza kushuhudia wakurugenzi na wakuu wa wilaya wengi tu wakisimamishwa kazi kutokana na uzembe wa kazi
Lowassa ndo alianza na kasi ya ajabu kuhakikisha shule za kata na zahanati zinajengwa kwa kasi kubwa sana lakin alipoachia tu Ngazi zimedolola zinaenda kwa mwendo wa kusuasua tu.
Haya sasa sasa hivi mgao wa umeme ndo umeongezeka kwa kasi kubwa sana hadi kipindi cha masika tunaingia kwenye mgao wa umeme.
Tuache kusingizia kua kuna thread zilijadili Ufisadi wa Lowassa kwa nini msizilete saizi hapa ili tujiridhishe.
Mie bado natatizwa na Ufisadi wa Lowassa maana sijapata ushahidi kamili wa kumtia hatian zaidi ya maneno ya vyombo vya habari na maneneo ya kitaa. Nilienda Arusha kila jengo Zuri kubwa naambiwa la Lowassa sasa sijui kama ni kweli au ndo uzushi tu
 
kwel naipenda chadema cos imetufumbua macho watanzania na ciwez rudisha kadi kama Nakaya but pamoja na yote katika ccm sijaona jembe kama EL,sizan kama angekua wazir mkuu tungeendelea na hu mgao bila watu kutimuliwa au solution kabisa.kama jamaa fisadi kisa utajil kuna nch viongozi matajir paka wananunua team na kulipa wachezaji mishahara mikubwa angalia wa italia,makosa kila mtu anafanya sio yeye cha muhm ni utendaji na kiukwel jamaa jembe kama sio powertilla kabisa.
 
pamoja na lowassa kutajwa sana ktk ufisadi na utajiri wake haiwekwi wazi connections ya alichonacho(mali) na kuiba though pengine bado itaibua shaka mali hizo na kipato cha utumishi wake.kwangu bado inanipa shaka kwamba mnyukano huu ni mbinu dhahiri ya kikwete kumzima kabisa swahiba wake huyo kutokana na tofauti zao (fear) flani na c ufisadi sawia.maana ukimrejea mama Sophia Simba aliyesema CCM hakuna aliye msafi u could doubt kuandamwa kwa wachache na c wote akianza na JK mwenyewe. anyway,,,, acha chama (ccm) kiondoke/kife kabisa!
 
nafikiri kuna tatizo CCM kuna msemo mmoja wanapenda sana kuutumia nao ni CCM INA WENYEWE NA WENYEWE NDIYO SISI!! naanza kupata maana halisi ya msemo huo kwamba kuna familia fulani fulani hapa Tanzania ndiyo zinamiliki tanzania kwa ufupi chama ni chao wao na watoto wao, akitokea mtu mwingine akaonekana ni strong wanaanza kumtungia uongo wanadai ni fisadi na mabo mengine kwa ufupi mwisho wa siku watanzania sio majuha bwana mtabaki na chama chenu na sisis tutaamua hatma ya nchi yetu kwa KURA.
Mkuu hapa umesema ukweli mtupu..Msema Hovyo, jinsi mimi nilivyomwelewa tangu juzi sio kwamba anamtetea Lowassa ila anataka umma tuelewe kilicho nyuma ya pazia kuhusu matabaka makuu matatu ndani ya CCM..kuna ccm kama chama ambacho lowassa yupo ndani yake(lowassa, January makamba, Chenge, Pindi chana, Rostam Aziz, Milinya na wengine) hawa wanajita wana mtandao, kuna CCM ya JK(familia yake hapa mtakumbuka enzi ya kampeni 2010..Riz1, 1st lady wote walikuwa bize kumnadi JK) pia kuna wapambe wake kibao tu..pia kuna hii ccm a.k.a CCJ ambayo jana ilifanya maandamano yake Mbeya..sasa haya makundi yana malengo yao na yananyukana kwelikweli mpaka matokeo yake kuna baadhi washajiuzulu, wengine wametemwa kwa visingizio vya kujivua GAMBA
 
Utendaji wa kazi wa Lowassa kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu aliokua Waziri mkuu Pinda hajafika hata nusu kwa muda wote aliokaaa kama Waziri mkuu. Lowassa ni Jembe la kazi na alikua anawafunika vibaya wote hadi JK, nadhani waswas wao walijua jamaa angeomba kugombea Uraisi kabla JK hajamaliza Muongo wake mzima ndo maana wakamjengea Zengwe.
Sasa hivi tunaambiwa halmashauri zina hati chafu na bado wakurugenzi wanachekacheka tu kazi hawasimamishwi. Tukumbuke kipindi cha Sumaye na Lowassa tuliweza kushuhudia wakurugenzi na wakuu wa wilaya wengi tu wakisimamishwa kazi kutokana na uzembe wa kazi
Lowassa ndo alianza na kasi ya ajabu kuhakikisha shule za kata na zahanati zinajengwa kwa kasi kubwa sana lakin alipoachia tu Ngazi zimedolola zinaenda kwa mwendo wa kusuasua tu.
Haya sasa sasa hivi mgao wa umeme ndo umeongezeka kwa kasi kubwa sana hadi kipindi cha masika tunaingia kwenye mgao wa umeme.
Tuache kusingizia kua kuna thread zilijadili Ufisadi wa Lowassa kwa nini msizilete saizi hapa ili tujiridhishe.
Mie bado natatizwa na Ufisadi wa Lowassa maana sijapata ushahidi kamili wa kumtia hatian zaidi ya maneno ya vyombo vya habari na maneneo ya kitaa. Nilienda Arusha kila jengo Zuri kubwa naambiwa la Lowassa sasa sijui kama ni kweli au ndo uzushi tu
Hapo kwenye red ndipo na mimi ninapokwazika. Hakuna hata mmoja aliyefanikiwa kuleta ushahidi unaosema Lowassa ameiba nini. Bwana Kabila01, hata kama mji wa Arusha wote ungekuwa ni mali ya Lowassa bado siyo kosa, kama aliwekeza kwa muda mrefu. Hivi hamuoni huko makazini tuliko, wote mnafanya kazi moja na mna kipato kimoja, lakini cha ajabu mwingine atajenga, atanunua gari, atafungua duka atanunua na mashamba, wakati nyie wengine hata pikipiki tu hakuna. Hapa ni suala la akili tu ya matumizi ya hela. Na kama kweli katika utumishi wake aliiba, basi tuletewe hicho alichoiba ili tujiridhishe kwamba huyu kweli ni fisadi. Kinachoonekana Kikwete anamhofia sana Lowassa kushika Urais. Fitina za kikwete ni mbaya sana alimfitini Mangula despite mambo yote mazuri aliyoifanyia CCM. Kikwete si mtu kabisa yule.
 
Mkuu hapa umesema ukweli mtupu..Msema Hovyo, jinsi mimi nilivyomwelewa tangu juzi sio kwamba anamtetea Lowassa ila anataka umma tuelewe kilicho nyuma ya pazia kuhusu matabaka makuu matatu ndani ya CCM..kuna ccm kama chama ambacho lowassa yupo ndani yake(lowassa, January makamba, Chenge, Pindi chana, Rostam Aziz, Milinya na wengine) hawa wanajita wana mtandao, kuna CCM ya JK(familia yake hapa mtakumbuka enzi ya kampeni 2010..Riz1, 1st lady wote walikuwa bize kumnadi JK) pia kuna wapambe wake kibao tu..pia kuna hii ccm a.k.a CCJ ambayo jana ilifanya maandamano yake Mbeya..sasa haya makundi yana malengo yao na yananyukana kwelikweli mpaka matokeo yake kuna baadhi washajiuzulu, wengine wametemwa kwa visingizio vya kujivua GAMBA
You said it mkuu. Kinachoimaliza CCM sasa hivi ni makundi na makundi hayo aliyatengeneza JK mwenyewe na sasa yanamsumbua. Lakini pia ni ukweli uli dhahiri kwamba Lowassa ni threat kubwa kwa JK, kutokana na uwezo mkubwa alionao katika utoaji wa maamuzi, usimamiaji wa mambo na commitment yake kazini. Lowassa hana mna wa kuchekacheka kama anavyocheka JK. Hiki ndiyo kilichosababisha mtandao wa JK ukisaidiwa na usalama wa JK (TISS), umshauri JK amtose rafiki yake ili kulinda Status yake kama Rais. Na kuonyesha kwamba Lowassa aliondolewa kutokana na utendaji wake, JK aliamua kumteua Pinda, mnyonge, akibanwa maswali analia. Balaa hii kwa nchi kwa kweli. Mbona bora ya Sumaye hata kama watu walimwita zero.
 
kwel naipenda chadema cos imetufumbua macho watanzania na ciwez rudisha kadi kama Nakaya but pamoja na yote katika ccm sijaona jembe kama EL,sizan kama angekua wazir mkuu tungeendelea na hu mgao bila watu kutimuliwa au solution kabisa.kama jamaa fisadi kisa utajil kuna nch viongozi matajir paka wananunua team na kulipa wachezaji mishahara mikubwa angalia wa italia,makosa kila mtu anafanya sio yeye cha muhm ni utendaji na kiukwel jamaa jembe kama sio powertilla kabisa.
Thanks mkuu kwa kuweka wazi hili. Maana tukisema kila aliye tajiri basi ni fisadi tutakuwa hatuwatendei haki kabisa wale wote waliotoka jasho katika harakati za kutafuta hizo mali. Tukisema fulani ni fisadi tuonyeshe na mahali alipochota hiyo hela tunayosema amefisadi.
 
pamoja na lowassa kutajwa sana ktk ufisadi na utajiri wake haiwekwi wazi connections ya alichonacho(mali) na kuiba though pengine bado itaibua shaka mali hizo na kipato cha utumishi wake.kwangu bado inanipa shaka kwamba mnyukano huu ni mbinu dhahiri ya kikwete kumzima kabisa swahiba wake huyo kutokana na tofauti zao (fear) flani na c ufisadi sawia.maana ukimrejea mama Sophia Simba aliyesema CCM hakuna aliye msafi u could doubt kuandamwa kwa wachache na c wote akianza na JK mwenyewe. anyway,,,, acha chama (ccm) kiondoke/kife kabisa!
So pleased na mchango wako mkuu. Kikwete anasumbuliwa na inferiority complex. Na sasa ameamua kumwajiri Nape anaongea tuuuu ilmradi aongee. Hivi akiambiwa aonyeshe ushahidi wa nini alichofisadi Lowassa ataweza?
 
Ndugu Nape Nnauye, kwa kuwa katika namna yoyote, wewe na wanamagamba wengine kama Sitta na Chiligati mmeshindwa kuthibitisha ufisadi wa Lowassa mbele ya jamii, nafikiri umefika wakati sasa wa kurudi nyuma na kumuomba radhi mheshimiwa huyu kutokana na kumchafua bila sababu. Nilianzisha thread juzi ya kuwataka watanzania walete ushahidi wa ufisadi wa Lowassa, watu wamebaki tu kuniambia eti ni tajiri. That is nonsense, kwani matajiri wote ni mafisadi. Kwa kuwa wewe huna mbinu za utafutaji hela, basi mwenzako akijinyima na kuwekeza sehemu productive unamgeuka na kumwita Fisadi? Sasa nyie magamba kwakuwa hamna ushahidi wa ufisadi wa Lowassa, tunataka sasa mmuombe radhi mbele ya halaiki kama mlivyofanya wakati wa kumchafua.
hizi ni tuhuma tu na mala nyingi huwa hazina ushahidi,na hakika hakuna atakaeweza leta ushahidi juu ya hizo tuhuma,kama wanasema hawana ushahidi wa kumshitaki chenge juu ya lada ambalo liko wazi kwa kila mtu je itawezekana kwa lowasa? Nape analipiza kisasi
 
hizi ni tuhuma tu na mala nyingi huwa hazina ushahidi,na hakika hakuna atakaeweza leta ushahidi juu ya hizo tuhuma,kama wanasema hawana ushahidi wa kumshitaki chenge juu ya lada ambalo liko wazi kwa kila mtu je itawezekana kwa lowasa? Nape analipiza kisasi
Na Kikwete alimteua Nape kwenye ile nafasi kwa kuwa alijua ana bifu na Lowassa, alijua kabisa jamaa atakuwa anaingia mzima mzima tu kama faru. But naomba Mungu Lowassa aendelee kuwa mstaarabu kama alivyoamua kuwa. Anyamaze kimya kabisa. Maana akiamua kureact naamini patachimbika.
 
Ndugu Nape Nnauye, kwa kuwa katika namna yoyote, wewe na wanamagamba wengine kama Sitta na Chiligati mmeshindwa kuthibitisha ufisadi wa Lowassa mbele ya jamii, nafikiri umefika wakati sasa wa kurudi nyuma na kumuomba radhi mheshimiwa huyu kutokana na kumchafua bila sababu.

Nilianzisha thread juzi ya kuwataka watanzania walete ushahidi wa ufisadi wa Lowassa, watu wamebaki tu kuniambia eti ni tajiri. That is nonsense, kwani matajiri wote ni mafisadi. Kwa kuwa wewe huna mbinu za utafutaji hela, basi mwenzako akijinyima na kuwekeza sehemu productive unamgeuka na kumwita Fisadi? Sasa nyie magamba kwakuwa hamna ushahidi wa ufisadi wa Lowassa, tunataka sasa mmuombe radhi mbele ya halaiki kama mlivyofanya wakati wa kumchafua.

Wacha kuwafanya watu mabwege na kutumwa kwako kwa ujira uchwara ukidhani watanzania ni watu wanaoweza kudanganywa. Hivi wewe unamjua Lowassa kuliko Msekwa au viongozi wengine wa CCM. Mbona mpaka leo hajakanusha kuhusika na kashfa yoyote na wala hajawahi kunyanyua mdomo wake kusema alivyoupata utajiri wake wa kupitiliza na huku akiwa mtumishi wa umma. Kwa mtu anayeamini kwamba turufu ya uongozi ni uadilifu, hajajali kueleza ni kwa nini hicho anachohusishwa nacho ni cha uongo?

Ni vizuri ukaelewa kwamba kuna nyakati silence hutafsiriwa kama consent.
 
Wacha kuwafanya watu mabwege na kutumwa kwako kwa ujira uchwara ukidhani watanzania ni watu wanaoweza kudanganywa. Hivi wewe unamjua Lowassa kuliko Msekwa au viongozi wengine wa CCM. Mbona mpaka leo hajakanusha kuhusika na kashfa yoyote na wala hajawahi kunyanyua mdomo wake kusema alivyoupata utajiri wake wa kupitiliza na huku akiwa mtumishi wa umma. Kwa mtu anayeamini kwamba turufu ya uongozi ni uadilifu, hajajali kueleza ni kwa nini hicho anachohusishwa nacho ni cha uongo?

Ni vizuri ukaelewa kwamba kuna nyakati silence hutafsiriwa kama consent.
Akina Msekwa ni walewale tu. Na yeye huyo msekwa yumo kwenye mtandao wa siasa za maji taka. Mimi nimeomba mnipe ushahidi wa ufisadi wake, na si hizi story za utajiri. Nimeshatoa ufafanuzi wa kutosha kuhusiana na suala la utajiri wa mtu. Sitarudia tena kulitolea ufafanuzi. Sasa nataka mnaokomalia kwamba Lowassa ni fisadi, mlete ushahidi.

Ukiongelea kuhusu suala la Kukanusha, basi viongozi wengi tu hata walio wasafi pia hawakuwahi kukanusha. Unakumbuka vizuri namna ambavyo Sumaye aliandamwa na mtandao wa JK kwamba ni fisadi? Na je Sumaye alifungua mdomo kumjibu yeyote? Lakini mbona leo hamsemi tena kwamba Sumaye ni Fisadi? Kukanusha au kutokanusha kunatokana na mtu mwenyewe atakavyoamua kuchukulia jambo. Lakini cha msingi sana, mtuleteeni ushahidi wa mahali ambapo Lowassa alichota hela ya umma.
 
Kama Msema hovyo si Lowassa mwenyewe au mwanae basi ni nepi yake. Tunajua kuna waandishi wengi wanalipwa na Lowassa kumsafisha ingawa wanajua hasafishiki hata kwa jik. Endeleeni kumtumikia huyo bwana na muungu wenu. Hatakasiki. Siku akitakasika basi na nguruwe atanukia marashi. Tusipoteze muda kutaka kufufua vilivyokwisha kufariki ndugu zanguni. Hata hivyo, kama Lowassa na wapambe wake wakisoma maoni yenu wanawakatia mshiko basi endeleeni na kutwanga maji mkitegemea kupata unga.
 
Back
Top Bottom