engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
nape kisasi ndicho kinacho mwendesha,lakini ukweli utabaki pale pale kuwa lowasa hatajivua gamba kwani hakuna ushahidi wa moja kwa moja
Mpayukaji, mbona story nyingi sana ndugu yangu? Wewe kalete ushahidi tumalize kesi. Hizi story zako hizi tulizisikia pia wakati ule Kikwete anatafuta Urais, kila mtu akaonekana mbaya isipokuwa yeye. Leo yeye ndo mbaya kumshinda mwingine yeyote. Hatutaki kufanya makosa kama tuliyofanya 2005, leteni ushahidi ili tukifanya maamuzi, tuwe na uhakika nayo.Kama Msema hovyo si Lowassa mwenyewe au mwanae basi ni nepi yake. Tunajua kuna waandishi wengi wanalipwa na Lowassa kumsafisha ingawa wanajua hasafishiki hata kwa jik. Endeleeni kumtumikia huyo bwana na muungu wenu. Hatakasiki. Siku akitakasika basi na nguruwe atanukia marashi. Tusipoteze muda kutaka kufufua vilivyokwisha kufariki ndugu zanguni. Hata hivyo, kama Lowassa na wapambe wake wakisoma maoni yenu wanawakatia mshiko basi endeleeni na kutwanga maji mkitegemea kupata unga.
Katika kuchunguza kwangu uhalisia wa mambo nimegundua kwamba Lowassa anasakamwa kutokana na kuonekana kuwa ni mtendaji mzuri kumshinda Kikwete, jambo ambalo lilikuwa linahatarisha reputation ya Kikwete kama Rais.
Nape naye kwa kutokuelewa akakakurupuka tu na kuanza kumtaja Lowassa kama fisadi. Lakini mimi leo nataka mwenye data za ufisadi wa Lowassa na aseme hapa. Lowassa amefisadi nini? Watu mnapayuka tu Richmond, richmond, lakini hakuna anayesema Lowassa alipata bei gani kutoka kwenye ile Kampuni. Wote tunajua kwamba Rostam alipata bilioni 40 za kagoda kupitia kagoda, pia tunajua ndiye aliyekuwa mmiliki wa Richmond ambayo baadaye ilibadilishwa na kuwa dowans. Pia tunajua kwamba Chenge alituibia hela ya rada.
Sasa Lowassa ameiba nini kilicho dhahiri? Ninachoamini mimi Lowassa aliponzwa na utendaji wake, wa kutaka kupush mambo yaende. Hakuwa legelege kama Pinda ambaye anang'aa tu macho huku watanzania wakiteseka kutokana na ukosefu wa umeme. Lakini katika harakati za kuhakikisha watanzania wanapata umeme ontime Lowassa alijikuta analazimika kumpush Msabaha aharakishe utoaji wa tenda kwenye kampuni iliyopitishwa na kamati, bahati mbaya kampuni iliyopitishwa ikawa fake.
Lowassa hakuwa kwenye kamati ya kupitisha mzabuni wa kuleta mitambo ya umeme, na wala hakuna mahali panapoonyesha kwamba Lowassa alimwambia Msabaha lazima apitishe richmond badala ya makampuni mengine. Tuna ushahidi wa kimazingira juu ya ufisadi wa Chenge (vijisent), na ule wa Rostam ambaye alijitambulisha kuwa msimamizi wa Dowans. Sasa Lowassa ufisadi wake upo wapi?
Ninaamini kwamba Lowassa anaandamwa kutokana na utendaji wake, ati ni tishio kwa uongozi wa Kikwete, pia na fitina za Nape dhidi yake.
Kila mtu mahali alipowahi kushika alifanya mazuri na mabaya nimeangalia profile ya Lowassa hapa, Edward Lowassa - Wikipedia, the free encyclopedia. Nimeona kwamba ni waziri tangu mwaka 1990. Lakin sijaona ni wizara gani ambayo alivurunda? Na kwenye UPM bado sioni ni mahali gani alipovurunda, zaidi ya hiyo attitude yake ya kutumia nguvu kupeleka mambo iliyosababisha aingie mkenge wa Richmond. Lakini pia ukitaka kuorodhsha udhaifu wa Lowassa, ni vema ukaorodhesha na ule wa Pinda. Zaidi ya yote, haya yote hayatoshi kuprove kwamba Lowassa ni fisadi. Mshahara wa uwaziri unatosha sana kwa mtu mwenye akili kubuni miradi mbalimbali ya kumuongezea kipato na hata kuwa tajiri mkubwa. Ina maana sheria ya nchi inawataka viongozi wakipata mshahara wapeleke bar? Maana wakifanya ya maana tu wanakuwa mafisadi.Mkuu imani inaweza kuhamisha milima. Lowassa amekuwa waziri kwa muda mrefu, unaweza ku-prove ni utendaji gani ulioonekana katika wizara zote alizokuwa waziri? Amekuwa PM kwa kipindi kifupi, ninaweza kuorodhesha udhaifu wote aliouonesha kwenye u-PM, sasa ni kipi unachoweza kutaja kuwa ni utendaji mzuri wa Lowassa?
Naona umekuwa muwazi kwa kusema ameiba nini kilichodhahiri, hii ina maana nzuri sana.
Tena nimekumbuka, kuna thread ya watu wabishi zaidi hapa JF. Orodhesha majina ya hii mijamaa yote inayonibishia peleka kule kwenye thread ya watu wabishi sana.Kwa hiyo?
Haya ni mashindano ya ubishi au?
Saint Ivuga jibu usikwepe hoja, hata mimi naanza kuona kama Msema Hovyo ana hoja kosa la Lowassa ni lipi kama ni Richmond mbona hadi leo hii ipo kwa majina tofauti kwanini isitaifishwe kama ilikuwa ni fake, wel tunaweza kusema RA na Kagoda, Chenge na Rada ziko wazi lakini hata hizo nina mashaka kwa vile serikali bado inawakingia kifua then makosa yao hasa ni yepi na kwa nini wawe watatu tu hii inanipa picha kuna kuoneana hapa au kuna kitu ambacho hatukijui wamedhulumiana kwenye mtandao wao am thinking aloud.unachekesha boy.. unachojaribu kufanya hapa ni kama vile umeenda mirembe dodoma then ukawapa wale wagonjwa wa akili mtihani.. lazima kutakuwa na wa kwanza na mwingine wa mwisho . but in generally wote ni wagonjwa wa akili
Hapa Mkuu nimekupata fresh..lakini msema Hovyo naomba tufanye kitu kimoja cha maana na chenye maslahi kwa taifa..tuache tofauti zetu za vyama kando, Tumwombe Mh Edward Lowassa ayaseme yale yote ambayo yeye mwenyewe kanukuliwa juzi kwamba ukifika mda mwafaka atayasema yote yale yote aliyokuwa akituhumiwa then tuujue ukweli uko wapi..kama wao waliweza kumshnikiza mpaka akajiuzulu sasa na wakamtupia lawama zote hizo mpaka leo wanaendelea kumlazimisha ajivue gamba kama ambavyo ameshafanya swahiba wake mkuu Rostam Aziz..Lowassa anachogapa ni nini? Kweli jamaa katika kusimamia miradi anaweza sana lakini kama wao wameamua kumtosa mapema kabla hajawadhuru basi LOWASSA tunakuomba jitokeze mapema anika maovu yote, then sisi wananchi tutamua tufanye nini...You said it mkuu. Kinachoimaliza CCM sasa hivi ni makundi na makundi hayo aliyatengeneza JK mwenyewe na sasa yanamsumbua. Lakini pia ni ukweli uli dhahiri kwamba Lowassa ni threat kubwa kwa JK, kutokana na uwezo mkubwa alionao katika utoaji wa maamuzi, usimamiaji wa mambo na commitment yake kazini. Lowassa hana mna wa kuchekacheka kama anavyocheka JK. Hiki ndiyo kilichosababisha mtandao wa JK ukisaidiwa na usalama wa JK (TISS), umshauri JK amtose rafiki yake ili kulinda Status yake kama Rais. Na kuonyesha kwamba Lowassa aliondolewa kutokana na utendaji wake, JK aliamua kumteua Pinda, mnyonge, akibanwa maswali analia. Balaa hii kwa nchi kwa kweli. Mbona bora ya Sumaye hata kama watu walimwita zero.
Bora wewe umesema mkuu Feedback. Toka mwanzo nawaambia watu wanipe evidence za ufisadi wa Lowassa, hawanipi. Badala yake ama wananishambulia kulingana na jina langu, mara oooh nimetumwa na Lowassa mara oooh uzao wa mafisadi. Nimewaambia Lowassa namfahamu kwenye TV na kwenye magazeti tu. Nataka tuhukumu kwa haki. Ufisadi wake ni upi? Nashukuru Feedback umeamua kureason out na ukaona kuna ka ukweli katika hoja yangu.Saint Ivuga jibu usikwepe hoja, hata mimi naanza kuona kama Msema Hovyo ana hoja kosa la Lowassa ni lipi kama ni Richmond mbona hadi leo hii ipo kwa majina tofauti kwanini isitaifishwe kama ilikuwa ni fake, wel tunaweza kusema RA na Kagoda, Chenge na Rada ziko wazi lakini hata hizo nina mashaka kwa vile serikali bado inawakingia kifua then makosa yao hasa ni yepi na kwa nini wawe watatu tu hii inanipa picha kuna kuoneana hapa au kuna kitu ambacho hatukijui wamedhulumiana kwenye mtandao wao am thinking aloud.
Mkuu The Emils, nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani though ninauona ugumu mahali fulani. Kwa kawaida, Lowassa akilazimishwa aseme ufisadi wake ni nini, badi atasema kwamba wakati wa harakati za Richmond Kikwete alishiriki kwa hatua 1, 2, 3, 4.... Pia atasema kwenye EPA Kikwete alichukua 1, 2, 3, .... akisema haya ni lazima nchi iingie kwenye uchaguzi mpya kwa maana ya kwamba Kikwete atalazimika kujiuzulu. Na hii ni kinyume na kanuni za TISS. Iwapo atajaribu ama kuonyesha nia ya kufanya hivyo au kutamka hadharani kwamba atafanya hivyo basi, atakufa mapema sana.Hapa Mkuu nimekupata fresh..lakini msema Hovyo naomba tufanye kitu kimoja cha maana na chenye maslahi kwa taifa..tuache tofauti zetu za vyama kando, Tumwombe Mh Edward Lowassa ayaseme yale yote ambayo yeye mwenyewe kanukuliwa juzi kwamba ukifika mda mwafaka atayasema yote yale yote aliyokuwa akituhumiwa then tuujue ukweli uko wapi..kama wao waliweza kumshnikiza mpaka akajiuzulu sasa na wakamtupia lawama zote hizo mpaka leo wanaendelea kumlazimisha ajivue gamba kama ambavyo ameshafanya swahiba wake mkuu Rostam Aziz..Lowassa anachogapa ni nini? Kweli jamaa katika kusimamia miradi anaweza sana lakini kama wao wameamua kumtosa mapema kabla hajawadhuru basi LOWASSA tunakuomba jitokeze mapema anika maovu yote, then sisi wananchi tutamua tufanye nini...
Mmmmh sasa hapa Mkuu wewe unashauri tufanye nini maana kuna kundi hili la wazee wa CCJ wanajipanga kummaliza Lowassa..Ngoja tusubiri tuone mwisho wake itakua nini ila nitafurahi zaidi siku EL atakapo tamka Ukweli wote kuanzia BOT kujiuzulu kwa Daudi Balali, nina imani atatueleza Richmond ulikuwa mradi wa nani, pia mengine mengi ambayo sisi wen gine hatuyafahamu..vipi kuhusu hili gazeti la uhuru kuendelea kumchafua lowassa? jana pia Sitta kaema tunalia na umeme lakini tunamfahamu aliyetufikisha hapa..daah kweli hizi kauli tata..Mkuu The Emils, nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani though ninauona ugumu mahali fulani. Kwa kawaida, Lowassa akilazimishwa aseme ufisadi wake ni nini, badi atasema kwamba wakati wa harakati za Richmond Kikwete alishiriki kwa hatua 1, 2, 3, 4.... Pia atasema kwenye EPA Kikwete alichukua 1, 2, 3, .... akisema haya ni lazima nchi iingie kwenye uchaguzi mpya kwa maana ya kwamba Kikwete atalazimika kujiuzulu. Na hii ni kinyume na kanuni za TISS. Iwapo atajaribu ama kuonyesha nia ya kufanya hivyo au kutamka hadharani kwamba atafanya hivyo basi, atakufa mapema sana.
Kwa hiyo nina wasiwasi kwamba Lowassa hatasema hata iweje. Maana hakuna utetezi anaoweza kutoa Lowassa ambao hautataja jina la Kikwete. Si unakumbuka alipotoka kuachia madaraka, alitaka kujitetea kupitia TBC, Tido Mhando akaagizwa afute kipindi haraka sana? And si unajua kwamba kuondoka kwa Tido TBC ni kutokana na ushirika wake na Lowassa? Sasa fikiria fitina hizo kiasi cha kuondoa hata wale walio pro Lowassa kwenye shirika la umma despite mazuri yote aliyofanya. Huko kwenye chama cha magamba kuna visa na vitina za kufa mtu.
Hehe! mkuu bado nafikiria kwakweli. Pengine atakapoamua kujiuzulu atarudisha na kadi ya chama kama nilivyobashiri hapo awali. Iwapo atafanya maamuzi hayo, na kuamua kujiunga na chama cha upinzani, basi anaweza kupaza sauti na kusema yote machafu yaliyomo ndani ya CCM, pengine hata habari za hao akina Balali. Lakini pia Lowassa ana kiapo cha Inteligency system ambayo hata ungejitoa serikalini huruhusiwi kutoa siri za serikali. So anaweza akaamua kutafuta mbinu nyingine za kujisafisha. Lakini akiamua kusema, basi yale ya akina Kolimba yatamfika immediately.Mmmmh sasa hapa Mkuu wewe unashauri tufanye nini maana kuna kundi hili la wazee wa CCJ wanajipanga kummaliza Lowassa..Ngoja tusubiri tuone mwisho wake itakua nini ila nitafurahi zaidi siku EL atakapo tamka Ukweli wote kuanzia BOT kujiuzulu kwa Daudi Balali, nina imani atatueleza Richmond ulikuwa mradi wa nani, pia mengine mengi ambayo sisi wen gine hatuyafahamu..vipi kuhusu hili gazeti la uhuru kuendelea kumchafua lowassa? jana pia Sitta kaema tunalia na umeme lakini tunamfahamu aliyetufikisha hapa..daah kweli hizi kauli tata..
Mkuu The Emils, nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani though ninauona ugumu mahali fulani. Kwa kawaida, Lowassa akilazimishwa aseme ufisadi wake ni nini, badi atasema kwamba wakati wa harakati za Richmond Kikwete alishiriki kwa hatua 1, 2, 3, 4.... Pia atasema kwenye EPA Kikwete alichukua 1, 2, 3, .... akisema haya ni lazima nchi iingie kwenye uchaguzi mpya kwa maana ya kwamba Kikwete atalazimika kujiuzulu. Na hii ni kinyume na kanuni za TISS. Iwapo atajaribu ama kuonyesha nia ya kufanya hivyo au kutamka hadharani kwamba atafanya hivyo basi, atakufa mapema sana.
Kwa hiyo nina wasiwasi kwamba Lowassa hatasema hata iweje. Maana hakuna utetezi anaoweza kutoa Lowassa ambao hautataja jina la Kikwete. Si unakumbuka alipotoka kuachia madaraka, alitaka kujitetea kupitia TBC, Tido Mhando akaagizwa afute kipindi haraka sana? And si unajua kwamba kuondoka kwa Tido TBC ni kutokana na ushirika wake na Lowassa? Sasa fikiria fitina hizo kiasi cha kuondoa hata wale walio pro Lowassa kwenye shirika la umma despite mazuri yote aliyofanya. Huko kwenye chama cha magamba kuna visa na vitina za kufa mtu.
Anahitajika sana CCm, viongozi hawamtaki kwa kuwa anawafunika. Ndo maana hatuendelei. Btw wakati Richmond inapokelewa Lowasa hakuwa na mamlaka yanayohusiana na uzalishaji nishati - unalijua hilo?, alikuwa PM wakati kampuni ilishapewa zabuni, alichokifganya yeye ni kuwaambia mawaziri husika kutekeleza mkataba: hana kosa hapa balia utendaji wake na maono yale yanamponza.huo utendaji uliomponza na kutosimamia haki ndio maana hahitajiki tena kule ccm
Nakuunga mkono mkuu Gama. Lakini naomba nikusahihishe kidogo tu, kwamba wakati zabuni ya kukodishwa kwa majenereta ya kuzalisha umeme inatangazwa Lowassa alikuwa tayari ni waziri. Lakini kwa kuwa hitaji la umeme lilikuwa kubwa sana, Lowassa alipush mambo yaende haraka zaidi kiasi cha kusababisha baadhi ya hatua za sheria za manunuzi zikarukwa. Na hapo ndipo palipokuja kummaliza. Wabaya wake wakatumia hiyo kama loop hole. Lakini ushahidi wa kwamba ni fisadi hadi saa hizi haupo popote.Anahitajika sana CCm, viongozi hawamtaki kwa kuwa anawafunika. Ndo maana hatuendelei. Btw wakati Richmond inapokelewa Lowasa hakuwa na mamlaka yanayohusiana na uzalishaji nishati - unalijua hilo?, alikuwa PM wakati kampuni ilishapewa zabuni, alichokifganya yeye ni kuwaambia mawaziri husika kutekeleza mkataba: hana kosa hapa balia utendaji wake na maono yale yanamponza.
kila mtu mahali alipowahi kushika alifanya mazuri na mabaya nimeangalia profile ya lowassa hapa, edward lowassa - wikipedia, the free encyclopedia. Nimeona kwamba ni waziri tangu mwaka 1990. Lakin sijaona ni wizara gani ambayo alivurunda? Na kwenye upm bado sioni ni mahali gani alipovurunda, zaidi ya hiyo attitude yake ya kutumia nguvu kupeleka mambo iliyosababisha aingie mkenge wa richmond. Lakini pia ukitaka kuorodhsha udhaifu wa lowassa, ni vema ukaorodhesha na ule wa pinda. Zaidi ya yote, haya yote hayatoshi kuprove kwamba lowassa ni fisadi. Mshahara wa uwaziri unatosha sana kwa mtu mwenye akili kubuni miradi mbalimbali ya kumuongezea kipato na hata kuwa tajiri mkubwa. Ina maana sheria ya nchi inawataka viongozi wakipata mshahara wapeleke bar? Maana wakifanya ya maana tu wanakuwa mafisadi.