johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,721
- 143,172
Akihojiwa na mtangazaji Salama Jabir wa Eatv mh Nape amesema yeye, January Makamba na marehemu Ruge Mutahaba walikuwa marafiki wakubwa sana
Nape amesema yeye na January ni ndugu kwa sababu baba zao ni ndugu japo haukuwa undugu wa damu hivyo wanashirikiana wao na Watoto wao katika mambo mbalimbali
Anasema January na Ruge walisoma Marekani hivyo walivyorudi nchini ndio urafiki wa mapacha Watatu Nape, January na Ruge ukaimarika
Nape amesema kifo cha Ruge kilimpa somo juu ya faida ya kuishi vizuri na Watu na hasa ukiangalia namna alivyozikwa
Source: Eatv
Mlale unono 😀
Nape amesema yeye na January ni ndugu kwa sababu baba zao ni ndugu japo haukuwa undugu wa damu hivyo wanashirikiana wao na Watoto wao katika mambo mbalimbali
Anasema January na Ruge walisoma Marekani hivyo walivyorudi nchini ndio urafiki wa mapacha Watatu Nape, January na Ruge ukaimarika
Nape amesema kifo cha Ruge kilimpa somo juu ya faida ya kuishi vizuri na Watu na hasa ukiangalia namna alivyozikwa
Source: Eatv
Mlale unono 😀