Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Huyu habarindiyo hiyo either ni Mnyika mwenyewe au anatumiwa na Mnyika na hasa ukichukuliwa kuwa Mnyika na Nape ndiyo wagombea watarajiwa jimbo la ubungo,lengo lake ni kutaka kutuaminisha kuwa Mnyika ni zaidi ya Nape.
Mkuu kakulwa umesoma hiyo habari lakini! Naona kama unaongea kinyume:
Contract as from http://www.lectlaw.com/def/c123.htm
CONTRACT - An agreement between two or more competent parties in which an offer is made and accepted, and each party benefits. The agreement can be formal, informal, written, oral or just plain understood. Some contracts are required to be in writing in order to be enforced. (2) An agreement between two or more parties which creates obligations to do or not do the specific things that are the subject of that agreement. Examples of a contract are a lease, a promissory note, or a rental agreement.