Ndiyo Duble ana akili kuliko zako mchumia tumbo wakati wa kura za maoni Jimbo la Ubungo ulikuwa nazo timamu ila tangu Jakaya Kikwete akuteue kuwa mkuu wa wilaya ya Masasi then Ideology and Publicity Secretary umekuwa na ukilaza mwingi sana cause wamekufix bila wewe kujua pole sana kwa kuchagua mafanikio ya muda mfupi yasiyodumu badala ya muda mrefu na yanayodumu!Duble unaakili sana, umejuaje?
Wassira alitoka NCCR mkampokea na sasa ni waziri
Cheo ulichonacho kilikuwa kimeshikiliwa na SHAKAFU iliyotoka CUF..mbeta kuna akina Shitambala na wengineo..mbona huwa hamuwakatai..tena mnawapa kazi viongozi wakuu wa kitaifa kuwapokea
yuko wapi yule nape aliye fichua uozo kwenye majengo ya umoja wa vijana wa ccm ambao ulikuwa unafanywa na mzee wa nywele nyeupe!........nadhani sio huyu ninae mjua sasa ambaye hata rangi hajui kutofautisha, nyeusi anaita nyeupe!NImegundua namna bora ya kufanya mjadala JF usitolewe ni kuanzisha FB then watauchukua kuuleta hapa na mjadala utaendelea sana! Ahsante kwa kutembelea wall yangu..... Karibuni tena
Kwakuwa mnalipwa kunitukana hapa ndo maana mnaamini kila mtu analipwa kwa kila afanyalo hata kwenda uwani analipwa
yaani hata kuandika SCRAPER imemshinda ..... huyu sio kiongozi
Wassira alitoka NCCR mkampokea na sasa ni waziri
Cheo ulichonacho kilikuwa kimeshikiliwa na SHAKAFU iliyotoka CUF..mbeta kuna akina Shitambala na wengineo..mbona huwa hamuwakatai..tena mnawapa kazi viongozi wakuu wa kitaifa kuwapokea
Sikutegemea kama unaweza kutumia lugha ya namna hii kwa mwanasiasa na msemaji wa chama tawala, inasikitisha saana. Hivi chama kimefilisika mpaka kukosa lugha ya kujadili hoja?
CCM kazi yenu ni kutishia tu ili kuwapoza wananchi lakini shinikizo la kujiuzulu limetoka kwa ZITTO na TUNDU LISSU pekee. Filikunjombe kakiri kuwa CCM ni waoga; Kama CAG ni ya serikali kwa nn KIKWETE hakuwawajibisha hao mawaziri mpaka aliposubiri sign 70++ Chini ya usimamizi wa ZITTO na mkakati wa CDM na CUF kufanya maandamano nchi nzima??Lakini kuna watu si watafiti kazi yao ni kushabikia tu kama mazuzu, kwani ile kamati ya mashirika ya uma ni ya chadema au ni ya Bunge? CAG ni wa chadema au wa Serikali. Tambua hayo kwanza kuliko kuandika upuuzi wako wa kichadema hapa. @ duble.
NImegundua namna bora ya kufanya mjadala JF usitolewe ni kuanzisha FB then watauchukua kuuleta hapa na mjadala utaendelea sana! Ahsante kwa kutembelea wall yangu..... Karibuni tena