Nape Nnauye: Toka moyoni mwangu

Nape Nnauye: Toka moyoni mwangu

kamnukuu mtu,halafu haya ndiyo majibu ya nape:

  • Nape Nnauye NAJIULIZA HAYA NDO MASWALI ANAJIULIZA KIJANA WA KITANZANIA??????!!! HUO MVUTO UNAOSEMWA UMEPOTEA KWA TAKWIMU AU KWA KUAMINISHWA GENERALI TU?43 minutes ago · 1
  • Nape Nnauye HAYA MABILIONI YALIYOTUMIWA ARUMERU NI YAPI NI TSHS NGAPI HASA MPAKA YAITWE MABILIONI?42 minutes ago
  • Nape Nnauye HIVI NI UJANJA MTU KUHAMA CHAMA NA CHAMA KINGINE KIKAMPOKEA AU CHAMA MAKINI KITAJIKITA KUTAFUTA WANACHAMA WAPYA KUTOKA KUNDI KUBWA LA WATANZANIA WASIO KUWA NA VYAMA??? UNAJIKITA KUCHUKUA SCREPERS?!!!!!!41 minutes ago
  • Nape Nnauye VIJANA WANAOHAMA ARUSHA NI KINA NANI NA HISTORIA YAO NDANI YA CHAMA ZAIDI YA KUTUKANA VIONGOZI WA CCM NI NINI?40 minutes ago
  • Sleim Salum CCM ni chama kikubwa40 minutes ago
  • Nape Nnauye TAKWIMU ZINAONYESHA KINONDONI PEKEAKE TENA KWENYE MATAWI TU ACHILIA MBALI KATA NA WILAYA TUNAO MAPROFESA, WANAJESHI WASTAAFU, MA DOCTARI, GRADUATES NK WAMEGOMBEA , ANAYEDANGANYA ETI WATU HAWATAKI KUJAZA FOMU NANI?38 minutes ago

Kamanda NAKUSHUKURU KWA KUSAHIHISHA NA KUELEZA UKWELI, DUBLE ALITAKA KUPOTOSHA UKWELI MAKUSUDI'........
 
Safi sana nape, hawa wamefanya jf kama hati miliki ya chadema msikate tamaa hakuna kizuri kikachokuja bila vikwazo

Mabelana hicho kizuri unakitarajia toka wapi? Miaka 50 bado unasubiri kizuri kutoka kwa watu wale wale! Pole sana ndugu yangu maana hiyo ni kama umeathiriwa na virusi vya magamba ndio maana unatafakari ki-magamba.
 
yaani hata kuandika SCRAPER imemsinda ..... huyu sio kiongozi

Usisahau kwamba huyu ni mhitimu wa shahada ya uzamili(masters) toka chuo kikuu Mzumbe!

Kweli ''kiinglish'' ni janga la Taifa. ''My professional is politician, my daily bread is engineering!''
 
Kamanda NAKUSHUKURU KWA KUSAHIHISHA NA KUELEZA UKWELI, DUBLE ALITAKA KUPOTOSHA UKWELI MAKUSUDI'........

Nape siku hizi magamba nanyi mna makamanda? Bila shaka ndio maana naona mnashona kijani yenu kama kombati yetu!
Mmeishiwa ubunifu kuanzia serikalini hadi kwenye chama. Mnasubiri chadema waseme neno ama wafanye kitu ndipo muige na kutekeleza! Endeleeni kujifunza hatimaye mtaelewa tu.
 
Usisahau kwamba huyu ni mhitimu wa shahada ya uzamili(masters) toka chuo kikuu Mzumbe!

Kweli ''kiinglish'' ni janga la Taifa. ''My professional is politician, my daily bread is engineering!''

Mwita Maranya
 
NImegundua namna bora ya kufanya mjadala JF usitolewe ni kuanzisha FB then watauchukua kuuleta hapa na mjadala utaendelea sana! Ahsante kwa kutembelea wall yangu..... Karibuni tena
Huyu jamaa jezi ya Yanga imemtoa kweli.
 
Sina haja ya kunukuu maneno yaliyoandikwa kwenye vitabu wakati sijazaliwa. hebu twende hapo Iraq tu, baada ya majeshi ya Marekani kuiteka Baghdad lakini bado yule waziri wa Habari Al Sahaf alikuwa na ushuja wa kijinga na kujisifu kwamba hakuna hata Mmarekani mmoja atakaekanyaga Baghdad na Baghdad ndio litakuwa kaburi lao na kwamba Baghdad ilikuwa haijatekwa!!

Lakini ukweli halisi yule jamaa mpaka sasa anaishi uhamishoni, sasa Nape ni mganga njaa tu, subilini kwenye uchaguzi wao wa ndani mwaka huu JK amuweke kando hamtoamini masikio yenu.

Nape ni mtu ambaye hajui alifanyalo na nadhani bado hamfahamu vyema JK kwamba anaweza kuteuwa sura mpya kwenye CCM Taifa baadaye mwaka huu, na ndio mtawajuwa walivyo wanafki hawa vVijana wazee.

miamia
 
Kwakuwa mnalipwa kunitukana hapa ndo maana mnaamini kila mtu analipwa kwa kila afanyalo hata kwenda uwani analipwa

Nape wewe ni kijana mdogo na Mungu akikupa uhai unaweza kuwa kiongozi wa nchi hii kwa muda mrefu. Sasa unapofanya mambo ya hovyo kinyume na matarajio ya vijana wenzako wanalazimika kukwambia papo hapo tena kwa ukali wala hakuna chuki hapo.

Inatakiwa uwavumilie watu wanaoku criticise, kule fb ukiona mtu anakuambia mambo usiyopenda unamu-unfriend, sasa hapa JF kila mmoja anajimwaga tu bila vikwazo kwahiyo usijenge chuki wala kiburi.
 
Hata hivyo Nape nakushukuru walau kutokea mara moja moja humu mithili ya msukule na kujibu baadhi ya hoja. Hongera kwa hilo.
 
NImegundua namna bora ya kufanya mjadala JF usitolewe ni kuanzisha FB then watauchukua kuuleta hapa na mjadala utaendelea sana! Ahsante kwa kutembelea wall yangu..... Karibuni tena

Nape If you are not part of the cure, then you are part of the problem.
 
kwa nini CC ichukue uamuzi baaada ya shinikizo la kumng'oa pm na kutishia kutopisha bajeti za wizara 8 endapo mawaziri hawataondolewa ???

Hadi hapa ni Chama kipi kinaongoza nchi hii kwa remote control ??

Jibu ni rahisi sana ni cdm kwani ccm imewekwa na tume pale huku cdm wakiwa nje na remote kuiongoza serikali ya ccm
 
yaani hata kuandika SCRAPER imemsinda ..... huyu sio kiongozi

unashangaa hiyo tu, hujaiona ....DOCTARI....alivyoiandika? Kwanza sijawahi kumsikia akiongea kidhungu sidhani kama kinapita pale hata cha ''kununulia samaki wabichi'' naamin hawezi tamka.
 
Safi sana nape, hawa wamefanya jf kama hati miliki ya chadema msikate tamaa hakuna kizuri kikachokuja bila vikwazo

Nape na ccm wana kizuri kipi mpaka useme kitu kama hicho?
 
Tumesha wazoea, AKIFA KWA NGOMA mtasema ALIKUFA KWA PRESHA ama Ki SUGAR....
Hata jana tulishuhudia MP akizomewa live lakini Mwenyewe akikanusha kuwa hakuzomewa.. Mtakanusha sana tu mwaka huu.. KIMBUNGA HIKI Kaka...

kisipoondoka na nyumba kitaondoka na PM, mkuu ni wapi huko alikozomewa?
 
Kwakuwa mnalipwa kunitukana hapa ndo maana mnaamini kila mtu analipwa kwa kila afanyalo hata kwenda uwani analipwa

Acha matusi! mnajificha fb, mkikurupushwa mwaja mbio jf.
 
Back
Top Bottom