Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
LenanaThanks you Inkoskaz! bila kumsahau Shaibu Akwilombe Kaimu katibu wa CCM katika mojawapo ya mikoa mipya iliyoanzishwa siku za karibuni!
Kunya anye kuku bana akinya bata....
LenanaThanks you Inkoskaz! bila kumsahau Shaibu Akwilombe Kaimu katibu wa CCM katika mojawapo ya mikoa mipya iliyoanzishwa siku za karibuni!
Mkuu unanikumbusha Chemikali Ally wa IRAQ ya SADDAM.Hizi ndizo statements zilizotolewa na Saif Al-Islam wakati vita inaanza:!
Mwisho wa siku alikamatiwa Awbari na siyo Tripoli kama alivyokuwa anajigamba mwanzo.
- To fight and die in Tripoli
- To fight and die in Tripoli
- To fight and die in Tripoli
Mytake: Huwa wanazikana Statement zao baadaye!
Duble unaakili sana, umejuaje?
Duble unaakili sana, umejuaje?
NImegundua namna bora ya kufanya mjadala JF usitolewe ni kuanzisha FB then watauchukua kuuleta hapa na mjadala utaendelea sana! Ahsante kwa kutembelea wall yangu..... Karibuni tena
NImegundua namna bora ya kufanya mjadala JF usitolewe ni kuanzisha FB then watauchukua kuuleta hapa na mjadala utaendelea sana! Ahsante kwa kutembelea wall yangu..... Karibuni tena
anamuiga kigwajibu hoja acha kuwa na akili kama za Kigwangala!!
mchungaji naona unaua bendi kabisa .aisee!!!Salaam kwa Mh Martha Mlata
100% hawana majibu ya haya maswaliNafikiri uwanja wa kiongozi yeyote ni kwenye ofisi zao rasmi tulizowapa badala ya FB, twiter, nk.
Nguvu(power) tulizowapa zinatosha kutengeza tovuti zenye habari za kutosha na mipango yenu ya kuleta maendeleo. Badala yake nguvu hizo mnazitumia kuwanyanyasa wananchi, na kuacha ofisi zetu hazina chochote. Mali na hela zetu mnawaachia wajanja wanatamba nazo kwa kujenga magorofa na magari ya anasa.
Yako wapi maisha bora kwa kila mtanzania?
- Tunataka watoto wetu wapate huduma kama wengine.
- Tunataka wazee wetu waishi mpaka siku zao walizopangiwa na Mungu wao zifike.
- Tunataka huduma kwa watu wote - barabara, afya, akiba, nk
- Tunataka kila mtu apate nafasi ya kuzalisha na kupata kipato - sio wanasiasa waingize mamilioni kwa mwezi wengine hata shilingi kumi ni ndoto
- Tunataka tujivunie serikali yetu - serikali inalinda nchi na wanachi, sio kulinda wezi na kuua wanachi.
- Tunataka tujivunie nchi yetu
- Tunataka uhuru wa mawazo, kuamini na kufanya tunayoamini kulingana na katiba - sio wengine wanachinjwa kama kondoo eti ni wapinzani au wanakosa kazi kwa sababu baba zao hawakuwa viongozi au sio marafiki au waamini wa siasa, dini au falsafa fulani
kweli kabisa,eti kaandika DOCTORI, Simply hajui kuandikayaani hata kuandika SCRAPER imemshinda ..... huyu sio kiongozi
Mkuu unajua elimu ya Nape?unaujua mwanzo wa elimu yake?una uhakika kabisa unaijua?Ni jambo la kawaida kukosea kuandika neno,alafu tambua kwamba kujua kingereza hakumaanishi kwamba wewe ni kiongozi mzuri! Mbona hauhoji kwa Wenje au Vincent au Lema au Msigwa wenye elimu duni na wengine za kuunga unga ambazo huwezi fananisha na elimu ya Mh Nape?
NImegundua namna bora ya kufanya mjadala JF usitolewe ni kuanzisha FB then watauchukua kuuleta hapa na mjadala utaendelea sana! Ahsante kwa kutembelea wall yangu..... Karibuni tena
Kwa nini tunajitahidi kuwaamsha ccm waliolala? je tunataka waendlee kuitafuna na kuididimiza nchi hii?
Nionanyo mimi ccm hawana majibu (practically viable solutions) kwa maswali hayo. So tusishangae Nape alivyojibu