Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Nape anavyowaza kule fb. naomuomba msamaha kwa kuhamishia mawazo yako huku ila nadhani sio vibayaNape Nnauye
‎(('....TOKA MOYONI MWANGU...
Kwanza nianze kwa Kuipongeza Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM. (CC) Kwa kukutana na kufikia maamuzi ya busara na yenye tija kwa Taifa.
Na pia nimesoma kwa makini yaliyojadiliwa na kuridhiwa na Kamati kuu ya CCM (CC)
Kama taarifa ilivyotolewa na kusainiwa na katibu wa itikadi na Uenezi wa NEC Ndugu Nape Nauye.
*...MASWALI YANGU YA KITOTO NINAYOJIULIZA BILA MAJAWABU...*
1. Hivi kamati kuu haijajiuliza kwa nini Chama Cha Mapinduzi kimepoteza Mvuto na kushindwa kuwashawishi Vijana kukupenda....?
2. Hivi Kamati Kuu (CC) Haijajiuliza kwa nini ilishindwa Jimbo la Arumeru Mashariki.. Licha ya kutumia mabilioni ya fedha na raslimali watu....?
3. Hivi Kamati Kuu (CC) Haijajiuliza na kujadili Kwa nini wanachama na Viongozi wa CCM na wa Serikali wanakihama Chama cha CCM.......?
4. Hivi Kamati Kuu (CC) Haijajiuliza Chanzo cha mgogoro wa CCM Mkoani Arusha unaopelekea Vijana na Wanachama wake Kuhama......?
6. Hivi Kamati Kuu (CC) Haijajiuliza kwa nini mwaka huu 2012 ni Mwaka wa Uchaguzi kwa CCM.
Lakini ajabu kuanzia mshina (Mabalozi) na Matawi wanagomea kujaza fomu za uongozi karibia Nchi nzima.....?
Haya na Mengine kwangu yameonekana ni Maswali ya Kitoto Sana nimejiuliza Mwenyewe nikaishia Kupata Majibu,
Hapa Tanurini natajia Kupata MAJAWABU ya Maswali Yangu hayo))
SIJAAMINI KAMA HAYA NI MASWALI ANAJIULIZA SAMBALA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!​!!KWELI YA KITOTO!!KAMA ALIVYOSEMA