Afadhali umeliweka hili sawa. Nilianza ku-doubt niliposoma thread hii nikadhani sikukusikiliza vizuri kwenye ITV usiku wa Jumamosi. Wewe ni mpiganaji, keep it up, boy! Naunga mkono pia wazo lako la kujadili vipengele muhimu kwenye waraka wa Wakatoliki.