Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,654
Huu wimbo wataisoma no leo wamejua kuwa walikuwa wakiukatia viuno na kujiimbia wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua wapo wataoingiza siasa chafu juu ya kauli yako lkn mh nape umekuwa mkweli kabisa juu korosho yawezekana mh rais alidanganywa kwa makusudi au vinginevyo lkn yote kwa yote maneno yake na watumishi wake akiwemo waziri wa kilimo hayakuakisi uhalisia na leo inadhihirisha ukimya uliopo juu ya sakata la korosho na kuhakiki miti ya korosho hakuna majibu ya uhakiki wao.Ama kweli ukistaajabu ya Mussa utayaona ya filauni.
Mbunge wa mtama Nape Mnauye amefunguka kweli juu ya serikali na zao la korosho,ebu pitieni hapo chini muone!View attachment 1026736
In God we Trust
Uliloliaandika ni uhalisia kabisa, tatizo imani imepungua na inaelekea kufa hasa pale wananchi wanapoona serikali ina udhalimu kwao... Mfano yule aliekuwa anasema alipima korosho october zikiwa grade I ila baadae anakuja kuambiwa korosho zake ni grade III.Lakini binadamu tunatakiwa kujifunza kama kuna matatu mazuri yamefanyika nyuma likaharibika moja tu tutoe suluhisho sio kuona akifai tena.
Lengo lao lilikuwa zuri na kama wasingechukua hii hatua Serikali kununua korosho hadi leo wangekuwa wanafanya majadiliano na wanunuzi na ingepata lawama kubwa isipokuwa tatizo awakujipanga fresh ila kwa misimu ijayo itakuwa poa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaio hadi atolewe kwenye cheo ndo anaanza zungumza uhalisia
Unaweza ukawa sahihi na unachokisema ni mafunzo makuu kwake na kwa wengine lakini, tangu ametoka katika uwaziri huo amekuwa "consistent" kwa kiwango cha kuaminika. Si mlinganishi na Mhe.Mwigulu Nchemba, Simbachawene na hata Anna Kilango Melecela. Hata huo ujasiri wa kukiri sioni kama ni kitu kidogo cha kubeza. Nadhani amekua na kujifunza mengi. Suala la kujiuliza ni Je, kile anachokipinga sasa ni cha kweli au anauonea utawala uliopo madarakani. Katika lugha ya kiswahili kuna neno "kuberi". Tusemapo amekuwa kuberi tunaimanisha amekuwa mzuri wa tabia ukilinganisha na huko nyuma.Simsemi vibaya kwa sababu ya yeye kumkomalia Dr. Slaa hapana.
Kwangu Nape ni mnafiki kama wanafiki wengine, akiwa Waziri alihusika kuhujumu Bunge live sijasahau fitna zake, alifanya juu chini mpaka bunge live likasitishwa.
Mungu analipa hapa hapa wale aliohusika nao kuhujumu bunge live wamemgeuka hana uwaziri tena ndio maana kawa mkosoaji, enzi akiwa Waziri anatembea na king'ora alikua upande wao kwa sasa kinachomsumbua kuwashambulia wenzake ni kukosa Uwaziri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu wimbo wataisoma no leo wamejua kuwa walikuwa wakiukatia viuno na kujiimbia wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
kipi?
Kweli kabisa wanasema If u don't love me now don't love me later coz ma later is much greater Hahaha wait n seeJiwe yupo wapi?
huyu yupo nyuma ya mpango mkubwa sana we subir kishindo. kifupi ni kwamba historia itaandikwa upyaSidhani Kama atarudishwa bungeni huyu. Hayo maneno baba hayapendi kabisaaaa
boss kila sector, hata tajiri aliyefillisika ni hivyo "majuto ni mjukuu"
Ama kweli ukistaajabu ya Mussa utayaona ya filauni.
Mbunge wa mtama Nape Mnauye amefunguka kweli juu ya serikali na zao la korosho,ebu pitieni hapo chini muone!View attachment 1026736
In God we Trust