Nape Nnauye hatanii, tazama juu ya korosho

Namukumbuka marehemu Kinyondo Sebastinian aliyewatetea wakulima wa mkoa wa Kagera kuhusu kutelemuka kwa bei ya kahawa alisimama imara bungeni mpaka bei hiyo ikarekebishwa
 
Namukumbuka marehemu Kinyondo Sebastinian aliyewatetea wakulima wa mkoa wa Kagera kuhusu kutelemuka kwa bei ya kahawa alisimama imara bungeni mpaka bei hiyo ikarekebishwa
Kipindi kile wabunge wengi walikuwa wakweli na wawakilishi wa wananchi walio wachagua lkn sasa wapo kumtumikia aliye juu

In God we Trust
 
Sisi kwetu Mwanza tunalima pamba na tunaweza kukadiria kiasi cha pamba itakayopatikana kulingana na ukubwa wa shamba. Zaidi ni kuwa miche ya pamba huwa inakatwa baada ya mavuno halafu msimu unaofuata, tunalima kwa kupanda mbegu upya, tofauti na mikorosho ambayo yenyewe inakuwa ni ile ile miaka na miaka. Itakuwa kitu cha kushangaza kwamba mikorosho ambayo idadi ya miche yake ipo fixed na imekuwa ikizalisha korosho miaka na miaka, wakulima wake washindwe kuweza kukadiria kiasi cha korosho wanayoweza kuzalisha halafu yule wa pamba aweze, wakati yeye huwa anapanda upya mwaka hadi mwaka. Tatizo la Nape ni kwamba ana kitu kingine rohoni ambacho ame-bank nacho ila kwa uhakika hakina uhusiano wa moja kwa moja na haya anayoendelea kung'ang'ana nayo siku hadi siku. Ni uhuru mawzao lakini, yuko sahihi!
Hakuna zao lisilokadirika bwana!!!
 
Hakuna zao lisilokadirika bwana!!!

Huyu bwana nashauri aache kuji-strain kwa kukaa anatafuta tafuta maneno ya ku-release kwenye media kwa sababu bado yanakuwa si tiba sahihi ya pressure aliyonayo kifuani kwake. Anatakiwa akae chini na kutafakari halafu achukue hatua ambayo itakua ni ya manufaa si kwake tu bali na kwa wengine pia. Kukaa anaiponda Serikali wakati aliwahi kula kiapo, si hekima sana. Na kwa taarifa tu ni kwamba unapokula kiapo, unajifunga kuwa hata kama kutakuwa na mabaya ambayo wewe utayaona, hutakiwi kuyasema wewe kama wewe, ila unaweza ukamweleza mtu mwingine akayasema kwa niaba yako, na pasipo watu kujua kuwa anayasema kwa niaba yako! Ana maumivu makali sana kicfuani na wakati mwingine kuumia kwa kiwango hii hakufai sana kwa mtu ambaye ni mwanasiasa, kwa sababu kwenye siasa kuna mambo mengi mno!
 
Ni ushauri mzuri sana usiyo wa mihemuko ya kiitikadi kabisa,hongera sana mkuu
Huyu bwana nashauri aache kuji-strain kwa kukaa anatafuta tafuta maneno ya ku-release kwenye media kwa sababu bado yanakuwa si tiba sahihi ya pressure aliyonayo kifuani kwake. Anatakiwa akae chini na kutafakari halafu achukue hatua ambayo itakua ni ya manufaa si kwake tu bali na kwa wengine pia. Kukaa anaiponda Serikali wakati aliwahi kula kiapo, si hekima sana. Na kwa taarifa tu ni kwamba unapokula kiapo, unajifunga kuwa hata kama kutakuwa na mabaya ambayo wewe utayaona, hutakiwi kuyasema wewe kama wewe, ila unaweza ukamweleza mtu mwingine akayasema kwa niaba yako, na pasipo watu kujua kuwa anayasema kwa niaba yako! Ana maumivu makali sana kicfuani na wakati mwingine kuumia kwa kiwango hii hakufai sana kwa mtu ambaye ni mwanasiasa, kwa sababu kwenye siasa kuna mambo mengi mno!

In God we Trust
 
huyu alizungumzia uhalisia wa bashite kuvamia clouds tv ndio akaondolewa kwenye cheo na basha wake bashite, huyu jamaa hanaga unafki
Asante sana kwa mchango wenye kujenga na usiyo wa kiitikadi

In God we Trust
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom