Kwaio hadi atolewe kwenye cheo ndo anaanza zungumza uhalisia
He nape kawa na akili siku hizi
Sidhani Kama atarudishwa bungeni huyu. Hayo maneno baba hayapendi kabisaaaa
Hii inaonyesha kuwa hata wao wamemchoka kichaa, sasa tatizo ni nani akamnyang'anye panga lenye makali, maana kichaa anakata mapanga watu wote
Tutaelewana tu
Wameshamuona jamaa yao mzushi tu, kila kitu kuhakiki halafu matokeo ni 0Kweli kabisa maana naona somo linaanza kusomeka
In God we Trust
Wameshamuona jamaa yao mzushi tu, kila kitu kuhakiki halafu matokeo ni 0
Mpaka kufika 2020 kitakuwa kimeelewekaNape naona kavumilia mwisho kaamua abwage manyanga
In God we Trust
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us