You are not safe either!Ngoja aje sasa ana mihasira na anaongea kwa kuhema utafikiri kakabwa, hii wiki atabwabwaja mpaka asira zije ziishe patakuwa hapatoshi, ...
You are not safe either!Ngoja aje sasa ana mihasira na anaongea kwa kuhema utafikiri kakabwa, hii wiki atabwabwaja mpaka asira zije ziishe patakuwa hapatoshi, ...
Nape huyu-huyu aliyekuwa anawakonga nyoyo zenu leo ameanza kubwabwaja??Ngoja aje sasa ana mihasira na anaongea kwa kuhema utafikiri kakabwa, hii wiki atabwabwaja mpaka asira zije ziishe patakuwa hapatoshi, ...
Hii txt ulikuwa unaituma kwa basha wako? Au ni kiwewe cha kusikia Nape kuondoka CCM ukajikuta unaituma humu?Ngoja aje sasa ana mihasira na anaongea kwa kuhema utafikiri kakabwa, hii wiki atabwabwaja mpaka asira zije ziishe patakuwa hapatoshi, ...
Mh. Nape hatokuwa wa kwanza, cha kustaabisha ni kipi? Wengine waliwahi kuwa Naibu Waziri Mkuu wakachinjwa, hivyo si ajabu! Mh. Nape, karibu huku!....Kuna tetesi kwamba wanataka kumchinjia baharini, labda yametimia.
You are not safe either!
Never, nguvu yote unayoitumia kuandika humu, unaitegemea CCM which means unategemea some few bosses at CCM for your hand to mouth survival!Mimi niko poa sana, simtegemei mtu kuishi!
Ngoja aje sasa ana mihasira na anaongea kwa kuhema utafikiri kakabwa, hii wiki atabwabwaja mpaka asira zije ziishe patakuwa hapatoshi, ...
Baada ya kuangalia mustakabali wa chama wewe unaangalia habari za Nnnape
Ngoja aje sasa ana mihasira na anaongea kwa kuhema utafikiri kakabwa, hii wiki atabwabwaja mpaka asira zije ziishe patakuwa hapatoshi, ...
Itakua nae kaandika kwa hasira mkuu,uzuri jamvini ht ukiandka kisichoeleweka watu tunachangia tu.Hujaeleweka ulichoandika sister
CCM ni Chama Dola!
Chama kitabaki na wazamiaji tu,watu wasiojua safari ya chama ilianzia wapi.Poor CCM.Ukiwauliza Nape amefanya nini kibaya au Nyalandu,wala hawana point za msingi,utaskia tu wanawatetea upinzani.Bure kabisa hawa.Hili lichama bila polisi hakuna kitu kabisa.Ndio, ni chama chenye kushikiria maamuzi yote ya Polisi, Jeshi nk
Si unakumbuka Mlimziba Nnape asiongee na Vyombo vya Habari, tena kwa kutolewa Bastola mchana wa juakali huku Dunia ikiangalia
Mnaanza na Nnape, kesho Bashe, keshokitwa Nyarandu.....Mwisho chama kitabakia na Wageni wasiokijua chama na wala hawana uchungu nancho