Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Nimeshagundua tatizo ..nilikuwa natumia earphone ambapo sauti ya Nape ipo chini sana kuliko ya anaehoji nikisema niongeze sauti kidogo inakuwa inaumiza sikio kwa sauti (nimejaribu bila earphone kwa kuongeza sauti mpaka karibia mwisho ndio sauti ikasika ya Nape ambapo kwenye earphone lazima sikio lipasuke)Unatumia simu gani mkuu..?? Mbona inasikika..?? Jaribu kucheki speaker za simu yko