wewe unatakaje/kusema nini katika hilo?Mwenyekiti wa CCM hana mamlaka ya kumlazimisha Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge asitoe ripoti.
Especially ripoti ambayo imeshakamilika (Wabunge ndani ya kamati wameshakubaliana).
Especially Mwenyekiti kama Nape Nnauye ambaye mpaka kesho hajasamehe mnyuko wa kudhalilisha aliopewa kutoka na serikali aliyolala misituni kuiweka madarakani.
wewe unatakaje/kusema nini katika hilo?
nakuona kiswahili kinaanza kuwa mureefu tu.
kama hutaki hilo jibu weka la kwako.
Kwanini asingefuta bila kutumia mbinu ya kisenge vile.Baada ya Mo Dewji kunyang'anywa mashamba kule Tanga! Siku kama mbili Mh Rais akawa ana hutubia sehemu fulani akasema "Kuna watu wanaangaika kutaka kufanya Robbing ili yale mashamba warudishiwe..!, Jamani mimi nikishafuta ndiyo basi hayarudi" Uenda kweli wale watu walitaka kulitumia Bunge kama sehemu ya kufanya yao! Lakini kweli shamba aliendelezwi nalo liundiwe tume..! Shamba linalo onekana kweli?
Ana uhakika na alisemalo kwa kipindi na muda.Kumtaja Mzee Nnauye na Mwandosya kwa wakati mmoja kuna maana gani
Sasa aliyekurupuka ninani pale.Kweli nyani haoni kundu lake hata unayemjibu humjui.Acheni umbeaSorry nimekunoti vibaya Chifu.
Nilidhani ulikuwa unapingana nami kama huyo ndugu yetu wa UFIPANI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize aliye leta UZI au unamuogopa?Jibu lako hali make sense.
Eti “Nape amejiuzulu baada ya kutofautiana na serikali kuhusu ripoti ya Kamati yake.”
Serikali inawezaje kutofautiana na ripoti ambayo bado haijafika bungeni?
Serikali imekataa mambo kibao ambayo yalikuwa kwenye ripoti ya Tume ya Sheria na Katiba i kuhusiana na sheria ya vyama - ripoti ilipofika bungeni.
Kwa nini hiki ki ripoti cha umiliki wa mashamba ya wawekezaji ndio serikali iogope kufika bungeni?
Haya mashamba MeTL ilipewa bure na sharti lilikuwa ayaendleze kwa kuyafanyia kazi wananchi wa eneo husika wapate ajira! Alipewa mashmba 21 lakini 12 yapo ni mapori tu na sheria usipo yaendeleza unanyang'anywa anapewa mtu mwingine anayeweza kuyafanyia kazi au wanapewa wananchi walime..! Sheria ni msumeno ila nakushangaa unapinga wananchi wa kawaida kabiba wasipewe ayo maeneo wafanyie shughuli za uzalishaji..? We wa wapi? Mtu anamiliki mashamba kila shamba lina ekari 12,000+ ..! Sasa 6 kanyang'anywa na sita kapewa onyo kama asipoyaendeleza yanarudishwa kwa wananchi.Kwanini asingefuta bila kutumia mbinu ya kisenge vile.
Ongea na wazee wana hazina ya misemo ya kiswahili.Hahahah hii misemo huwa mnaitoa wapi?
Kwa hiyo lindi ni singida? au siyo? ndo facts zenyewe hizo??Njoo na facts siyo kubishana pasipo hoja kama unavyobishanaga na Watu vijiweni kwenye kahawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono kabisa. Magufuri songa mbeleeeeSisi tulio nje hatuoni mambo vizuri kama walipo ndani. Tuache ushabiki nchi imepigwa na wawekezaji hewa katika mashamba. Wamechukua mikopo wamewekeza nje ya nchi sisi tunapiga kelele. Rais songa mbele kitaeleweka tu.
atekweHaya mashamba MeTL ilipewa bure na sharti lilikuwa ayaendleze kwa kuyafanyia kazi wananchi wa eneo husika wapate ajira! Alipewa mashmba 21 lakini 12 yapo ni mapori tu na sheria usipo yaendeleza unanyang'anywa anapewa mtu mwingine anayeweza kuyafanyia kazi au wanapewa wananchi walime..! Sheria ni msumeno ila nakushangaa unapinga wananchi wa kawaida kabiba wasipewe ayo maeneo wafanyie shughuli za uzalishaji..? We wa wapi? Mtu anamiliki mashamba kila shamba lina ekari 12,000+ ..! Sasa 6 kanyang'anywa na sita kapewa onyo kama asipoyaendeleza yanarudishwa kwa wananchi.
Over
SO ULITAKIWA KUNIULIZA MIMI AU HUYO RAFIKI YAKO ALIYEJIHAKIKISHIA NAPE NI MSINGIDA?Kwa hiyo lindi ni singida? au siyo? ndo facts zenyewe hizo??
Yule ni nyumbu. Nafikiri unaona manyumbu yanavyoishi kule mbuganiSO ULITAKIWA KUNIULIZA MIMI AU HUYO RAFIKI YAKO ALIYEJIHAKIKISHIA NAPE NI MSINGIDA?
Sent using Jamii Forums mobile app
SAWASAWA CHIFU.Yule ni nyumbu. Nafikiri unaona manyumbu yanavyoishi kule mbugani
Soma hii kitu, The Rule of Law. Ndio utaelewa mantiki yakeKwa hiyo kawa mtetezi wa wawekezaji hewa?
Hivi unaamini kabisa kwamba ni Nape ndie alikataa?! Kilichomponza Nape kwenye lile suala ni kuwa "speaker" ya serikali kuelezea issue husika! Lile suala ni Jiwe mwenyewe kwa 100%, na ndio maana ingawaje Nape kaondoka, lakini bado issue iko pale pale!Nape hata ajidai Mwema namna gani, simsamehi kosa la kukataa Bunge kwenda live kwa sababu za kijinga sana!
Tena siasa ilivyo ujinga, mmoja wa hao wana-CCM ni Mzee Yusuf Makamba! Nape alipomuuliza Mzee Makamba ikiwa yeye sio mtoto wa Mzee Nnauye ilikuwaje aliwezeza kwake (kwa mzee Makamba) lakini Mzee Makamba hakuwa na jibu!jogi mshukuru Sky Eclat maana jamaa walishataka kuigeuza hoja.
Wengine walikuwa wadogo wakati baadhi ya ndugu wa Nape walipokuwa wanatumiwa na baadhi ya wana CCM kusema Nape si ndugu yao na wala si mtoto wa Marehemu Mzee Mussa (Moses) Nnauye.
Lile kasheshe lilikuwa kubwa sana kiasi kwamba na Kikwete naye aliingilia kati kuokoa Jahazi.
Kweli tusidhani Mola hasikii ubani ukiungua. Kama moshi unavyopaa pole pole ndivyo inafanya kazi
Unaambiwa alilazimishwa baada ya KUGOMA kuondoa ambacho serikali walitaka aondoe! Alikuwa na uwezo wa kuendelea kubaki katika nafasi yake endapo angekubali! Ni vile tu watu mnajitia upofu, manake hata uwaziri aliupoteza kwa sababu tu aliamu kuunda tume dhidi ya Makonda wakati Jiwe alishatoa mwelekeo wa kupingana na hiyo tume lakini Nape hakusalimu amri!Kalazimishwa kuachia ngazi,huko si kujiuzulu.
Kuna jambo la msingi,limetegeshewa wanamfanyia timing wamfunge kwa goli la kichwa,ili kumaliza utata wa goli la mkono.Dead end.