Nape Nnauye ajiuzulu Uenyekiti wa Kamati ya Maliasili na Utalii

Mwenyekiti wa CCM hana mamlaka ya kumlazimisha Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge asitoe ripoti.

Especially ripoti ambayo imeshakamilika (Wabunge ndani ya kamati wameshakubaliana).

Especially Mwenyekiti kama Nape Nnauye ambaye mpaka kesho hajasamehe mnyuko wa kudhalilisha aliopewa kutoka na serikali aliyolala misituni kuiweka madarakani.
wewe unatakaje/kusema nini katika hilo?
nakuona kiswahili kinaanza kuwa mureefu tu.
kama hutaki hilo jibu weka la kwako.
 
wewe unatakaje/kusema nini katika hilo?
nakuona kiswahili kinaanza kuwa mureefu tu.
kama hutaki hilo jibu weka la kwako.

Jibu lako hali make sense.

Eti “Nape amejiuzulu baada ya kutofautiana na serikali kuhusu ripoti ya Kamati yake.”

Serikali inawezaje kutofautiana na ripoti ambayo bado haijafika bungeni?

Serikali imekataa mambo kibao ambayo yalikuwa kwenye ripoti ya Tume ya Sheria na Katiba i kuhusiana na sheria ya vyama - ripoti ilipofika bungeni.

Kwa nini hiki ki ripoti cha umiliki wa mashamba ya wawekezaji ndio serikali iogope kufika bungeni?
 
Baada ya Mo Dewji kunyang'anywa mashamba kule Tanga! Siku kama mbili Mh Rais akawa ana hutubia sehemu fulani akasema "Kuna watu wanaangaika kutaka kufanya Robbing ili yale mashamba warudishiwe..!, Jamani mimi nikishafuta ndiyo basi hayarudi" Uenda kweli wale watu walitaka kulitumia Bunge kama sehemu ya kufanya yao! Lakini kweli shamba aliendelezwi nalo liundiwe tume..! Shamba linalo onekana kweli?
Kwanini asingefuta bila kutumia mbinu ya kisenge vile.
 
Jibu lako hali make sense.

Eti “Nape amejiuzulu baada ya kutofautiana na serikali kuhusu ripoti ya Kamati yake.”

Serikali inawezaje kutofautiana na ripoti ambayo bado haijafika bungeni?

Serikali imekataa mambo kibao ambayo yalikuwa kwenye ripoti ya Tume ya Sheria na Katiba i kuhusiana na sheria ya vyama - ripoti ilipofika bungeni.

Kwa nini hiki ki ripoti cha umiliki wa mashamba ya wawekezaji ndio serikali iogope kufika bungeni?
Muulize aliye leta UZI au unamuogopa?
 
Kwanini asingefuta bila kutumia mbinu ya kisenge vile.
Haya mashamba MeTL ilipewa bure na sharti lilikuwa ayaendleze kwa kuyafanyia kazi wananchi wa eneo husika wapate ajira! Alipewa mashmba 21 lakini 12 yapo ni mapori tu na sheria usipo yaendeleza unanyang'anywa anapewa mtu mwingine anayeweza kuyafanyia kazi au wanapewa wananchi walime..! Sheria ni msumeno ila nakushangaa unapinga wananchi wa kawaida kabiba wasipewe ayo maeneo wafanyie shughuli za uzalishaji..? We wa wapi? Mtu anamiliki mashamba kila shamba lina ekari 12,000+ ..! Sasa 6 kanyang'anywa na sita kapewa onyo kama asipoyaendeleza yanarudishwa kwa wananchi.
Over
 
Sisi tulio nje hatuoni mambo vizuri kama walipo ndani. Tuache ushabiki nchi imepigwa na wawekezaji hewa katika mashamba. Wamechukua mikopo wamewekeza nje ya nchi sisi tunapiga kelele. Rais songa mbele kitaeleweka tu.
Naunga mkono kabisa. Magufuri songa mbeleeee
 
Haya mashamba MeTL ilipewa bure na sharti lilikuwa ayaendleze kwa kuyafanyia kazi wananchi wa eneo husika wapate ajira! Alipewa mashmba 21 lakini 12 yapo ni mapori tu na sheria usipo yaendeleza unanyang'anywa anapewa mtu mwingine anayeweza kuyafanyia kazi au wanapewa wananchi walime..! Sheria ni msumeno ila nakushangaa unapinga wananchi wa kawaida kabiba wasipewe ayo maeneo wafanyie shughuli za uzalishaji..? We wa wapi? Mtu anamiliki mashamba kila shamba lina ekari 12,000+ ..! Sasa 6 kanyang'anywa na sita kapewa onyo kama asipoyaendeleza yanarudishwa kwa wananchi.
Over
atekwe
 
Nape hata ajidai Mwema namna gani, simsamehi kosa la kukataa Bunge kwenda live kwa sababu za kijinga sana!
Hivi unaamini kabisa kwamba ni Nape ndie alikataa?! Kilichomponza Nape kwenye lile suala ni kuwa "speaker" ya serikali kuelezea issue husika! Lile suala ni Jiwe mwenyewe kwa 100%, na ndio maana ingawaje Nape kaondoka, lakini bado issue iko pale pale!
 
jogi mshukuru Sky Eclat maana jamaa walishataka kuigeuza hoja.

Wengine walikuwa wadogo wakati baadhi ya ndugu wa Nape walipokuwa wanatumiwa na baadhi ya wana CCM kusema Nape si ndugu yao na wala si mtoto wa Marehemu Mzee Mussa (Moses) Nnauye.

Lile kasheshe lilikuwa kubwa sana kiasi kwamba na Kikwete naye aliingilia kati kuokoa Jahazi.
Tena siasa ilivyo ujinga, mmoja wa hao wana-CCM ni Mzee Yusuf Makamba! Nape alipomuuliza Mzee Makamba ikiwa yeye sio mtoto wa Mzee Nnauye ilikuwaje aliwezeza kwake (kwa mzee Makamba) lakini Mzee Makamba hakuwa na jibu!
 
Kalazimishwa kuachia ngazi,huko si kujiuzulu.
Kuna jambo la msingi,limetegeshewa wanamfanyia timing wamfunge kwa goli la kichwa,ili kumaliza utata wa goli la mkono.Dead end.
Unaambiwa alilazimishwa baada ya KUGOMA kuondoa ambacho serikali walitaka aondoe! Alikuwa na uwezo wa kuendelea kubaki katika nafasi yake endapo angekubali! Ni vile tu watu mnajitia upofu, manake hata uwaziri aliupoteza kwa sababu tu aliamu kuunda tume dhidi ya Makonda wakati Jiwe alishatoa mwelekeo wa kupingana na hiyo tume lakini Nape hakusalimu amri!
 
73 Reactions
Reply
Back
Top Bottom