jupiter001
Member
- May 25, 2023
- 44
- 72
- Thread starter
- #41
Unaomba ushahidi ? kwa nikuletee memo au?Nina wasiwasi na hoja yako,emu lete uthibitisho kuwa E-GA wapo chini ya Ofisi ya Utumishi?
Kama ipo huko basi itakuwa makosa makubwa sana ya kiufundi,inapaswa kuwepo chini ya Wizara ya Mawasiliano.
Ngoja nifatilie.