Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
...(na Peter Serukamba ambae namfahamu kuliko anavyojifahamu kwa kuwa nimefanya nae kazi TANROADS japo sina uhakika kama huwa anatembelea JF), naomba mnijibu swali langu:
Mtanzania maskini aiamini ccm kwa lipi? Naomba mnijibu hilo, na mkiweza kuni-convice kwa hilo kadi yangu ya CHADEMA niliyokata juzi (ilikuwa sikukuu najua ila CHADEMA ina watu wanaojituma bila malipo na kufanya kazi nje ya saa za kazi walinipa) nitairudisha na niwe magamba kama wazazi wangu walivyokuwa zamani japo sasa wameikana ccm!
Mtanzania maskini aiamini ccm kwa lipi? Naomba mnijibu hilo, na mkiweza kuni-convice kwa hilo kadi yangu ya CHADEMA niliyokata juzi (ilikuwa sikukuu najua ila CHADEMA ina watu wanaojituma bila malipo na kufanya kazi nje ya saa za kazi walinipa) nitairudisha na niwe magamba kama wazazi wangu walivyokuwa zamani japo sasa wameikana ccm!