Asante kwa kuwa umekubali kuwa hoja yako dhaifu imegonga Mwamba.Japo umetumia pesa nyingi kuwanunua vijana na kuwatumia kama kondomu hatimae umewatupa nasi tutasimamia katiba kuwaondoa.Maana CDM kupambana na Mamluki tuko Imara zaidi ya Antivirus yoyote unayoijua.Any way kwa Ufupi Giza vs Nuru.Nuru siku zote hushinda.Ndio maana hoja yako ya Kipuuzi na dhaifu Imegonga mwamba.Kapya,
Kwahiyo huwezi kumfukuza mtu ambaye simwananchama wako! Kama mjadala wa viongozi wetu kuishi maisha wanayoyahubiri unachosha is ajabu ipo siku utadai tumechoshwa na mjadala juu ya vita dhidi ya ufisadi na rushwa!
Kwanza nikupongeze kwa busara kubwa uliyotumia na maneno ya kiungwana. Ni kweli nilianzisha mjadala huu,lakini baada ya hapo sijaendelea kujadili hili,mie naendelea na majukumu yangu mengine japokuwa nasikia maneno mengi sana tena ya kipuuzi sana! Nasikitika mjadala huu kutumika kudhalilisha watu akiwemo Dr. Slaa(babu yangu)...HAIKUA KUSUDIO LA MJADALA HUU...nilitaka kumkumbusha babu kuishi anayoyahubiri basi!! So Dr. Sio mwanachama wa ccm kwa mujibu wa katiba ya ccm bali ANAMILIKI KADI YA CCM na hoja yangu hapa wakati yeye ANAHAMASISHA WATU KURUDISHA KADI ZA CCM YEYE YAKE KAKIRI KUITUNZA...kulipia kadi na kuwa na kadi is kipimo cha uanachama wa mtu...
Hahaha magwanda mnalo! Mnaanzishiwa ngoma mnacheza kama mazuzu! Mkiambiwa hicho sio chama ni NGO mnanuna!! Akhhaaaa!
Kwanza nikupongeze kwa busara kubwa uliyotumia na maneno ya kiungwana. Ni kweli nilianzisha mjadala huu,lakini baada ya hapo sijaendelea kujadili hili,mie naendelea na majukumu yangu mengine japokuwa nasikia maneno mengi sana tena ya kipuuzi sana! Nasikitika mjadala huu kutumika kudhalilisha watu akiwemo Dr. Slaa(babu yangu)...HAIKUA KUSUDIO LA MJADALA HUU...nilitaka kumkumbusha babu kuishi anayoyahubiri basi!! So Dr. Sio mwanachama wa ccm kwa mujibu wa katiba ya ccm bali ANAMILIKI KADI YA CCM na hoja yangu hapa wakati yeye ANAHAMASISHA WATU KURUDISHA KADI ZA CCM YEYE YAKE KAKIRI KUITUNZA...kulipia kadi na kuwa na kadi is kipimo cha uanachama wa mtu......
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]
Mithali sura 26
3 Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda, [/FONT][/FONT]
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][/FONT][/FONT] [FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]nayo fimbo kwa migongo ya wapumbavu!
[/FONT][/FONT] [FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow] 4 Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu [/FONT][/FONT]
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]wake, ama wewe mwenyewe utakuwa kama yeye.
[/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][/FONT][/FONT]Bwana Nape Nafasi uliyo nayo ni kubwa sana, nahisi huitendei haki, unaponena kauli yako inahesabiwa kuwa ni kauli ya wana CCM zaidi ya Milioni Tano, achana na mambo ya kitoto, acha mabishano ya kipumbavu na wewe utaonekana kama wao. Maneno hayo juu kama ni msomaji wa Biblia naomba yakusaidie achana nao, wao wanafanya nini wana haki ya kufanya wanayofanya wewe waambie tunafanya nini, wewe waweke mijeredi tu mbona mbinu nyingi tu!! na kama wanachokipigia kelele kina manufaa kwa chama chetu wewe copy na kifanye kabla yao waache wabaki na maandamano tena wala usiwazuie, weye wazuie kwa vitendo watajikuta wako peke yao.
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][/FONT][/FONT]
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][/FONT][/FONT]
Mkuu kumbuka maneno yako, hata yakiwa mzaha watu wanayachukulia uzito kwa sababu ya cheo chako. Watu waliona kuwa uko serious uliposemaKwanza nikupongeze kwa busara kubwa uliyotumia na maneno ya kiungwana. Ni kweli nilianzisha mjadala huu,lakini baada ya hapo sijaendelea kujadili hili,mie naendelea na majukumu yangu mengine japokuwa nasikia maneno mengi sana tena ya kipuuzi sana! Nasikitika mjadala huu kutumika kudhalilisha watu akiwemo Dr. Slaa(babu yangu)...HAIKUA KUSUDIO LA MJADALA HUU...nilitaka kumkumbusha babu kuishi anayoyahubiri basi!! So Dr. Sio mwanachama wa ccm kwa mujibu wa katiba ya ccm bali ANAMILIKI KADI YA CCM na hoja yangu hapa wakati yeye ANAHAMASISHA WATU KURUDISHA KADI ZA CCM YEYE YAKE KAKIRI KUITUNZA...kulipia kadi na kuwa na kadi is kipimo cha uanachama wa mtu...
chalii yangu umewahi kuimba taarabu nini? kama vile nakuona mkono wa kulia upo juu ni kidole cha shahada kimekutana na kidole gumba hasa hapo unaposema unaloo! shankupe flani hiviHahaha magwanda mnalo! Mnaanzishiwa ngoma mnacheza kama mazuzu! Mkiambiwa hicho sio chama ni NGO mnanuna!! Akhhaaaa!
chalii yangu umewahi kuimba taarabu nini? kama vile nakuona mkono wa kulia upo juu ni kidole cha shahada kimekutana na kidole gumba hasa hapo unaposema unaloo! shankupe flani hivi
Kwanza nikupongeze kwa busara kubwa uliyotumia na maneno ya kiungwana. Ni kweli nilianzisha mjadala huu,lakini baada ya hapo sijaendelea kujadili hili,mie naendelea na majukumu yangu mengine japokuwa nasikia maneno mengi sana tena ya kipuuzi sana! Nasikitika mjadala huu kutumika kudhalilisha watu akiwemo Dr. Slaa(babu yangu)...HAIKUA KUSUDIO LA MJADALA HUU...nilitaka kumkumbusha babu kuishi anayoyahubiri basi!! So Dr. Sio mwanachama wa ccm kwa mujibu wa katiba ya ccm bali ANAMILIKI KADI YA CCM na hoja yangu hapa wakati yeye ANAHAMASISHA WATU KURUDISHA KADI ZA CCM YEYE YAKE KAKIRI KUITUNZA...kulipia kadi na kuwa na kadi is kipimo cha uanachama wa mtu...
Kapya,
Kwahiyo huwezi kumfukuza mtu ambaye simwananchama wako! Kama mjadala wa viongozi wetu kuishi maisha wanayoyahubiri unachosha is ajabu ipo siku utadai tumechoshwa na mjadala juu ya vita dhidi ya ufisadi na rushwa!
hahaha magwanda mnalo! Mnaanzishiwa ngoma mnacheza kama mazuzu! Mkiambiwa hicho sio chama ni ngo mnanuna!! Akhhaaaa!
ccm ni NGO ya nani? Maana naona wewe kila asemacho kikwete ni kuropoka tu,ndo maana kikwete kakuingiza mkenge kwenye hoja ya kujivua gamba,iko wapi na imefikia wapi?Hahaha magwanda mnalo! Mnaanzishiwa ngoma mnacheza kama mazuzu! Mkiambiwa hicho sio chama ni NGO mnanuna!! Akhhaaaa!
Nape nakushukuru kwa kufunguka kuhusu hili...mimi nina kadi ya ukaazi wa mahali nilipokuwa ninaishi zamani.tangu nihame nchi sijairudisha. Je bado mimi ni mkaazi wa eneo lile kwa mujibu wa sheria? Ilitoka kwa Ward Executive Officer (W.E.O) mwaka 1995, na hadi leo hii ninayo.
Nashukuru kwa ukiri wako wa busara kuwa Dr Slaa si Mwanachama wa CCM kwa mujibu wa katiba ya Chama. Una maana Dr Bado anailipia kadi yake? Hapo mwisho kwenye is ni neno la kiingereza la "ni" au ni neno la kiswahili la "si"
Naomba uendelee kufunguka zaidi ili tukuelewe.