[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]
Mithali sura 26
3 Mjeledi kwa farasi, lijamu kwa punda, [/FONT][/FONT]
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][/FONT][/FONT] [FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]nayo fimbo kwa migongo ya wapumbavu!
[/FONT][/FONT] [FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow] 4 Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu [/FONT][/FONT]
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]wake, ama wewe mwenyewe utakuwa kama yeye.
[/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][/FONT][/FONT]Bwana Nape Nafasi uliyo nayo ni kubwa sana, nahisi huitendei haki, unaponena kauli yako inahesabiwa kuwa ni kauli ya wana CCM zaidi ya Milioni Tano, achana na mambo ya kitoto, acha mabishano ya kipumbavu na wewe utaonekana kama wao. Maneno hayo juu kama ni msomaji wa Biblia naomba yakusaidie achana nao, wao wanafanya nini wana haki ya kufanya wanayofanya wewe waambie tunafanya nini, wewe waweke mijeredi tu mbona mbinu nyingi tu!! na kama wanachokipigia kelele kina manufaa kwa chama chetu wewe copy na kifanye kabla yao waache wabaki na maandamano tena wala usiwazuie, weye wazuie kwa vitendo watajikuta wako peke yao.
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][/FONT][/FONT]
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][/FONT][/FONT]