Bwana nape mjadala wa kadi ya CCM aliyonayo Dr.umechosha masikio ya watu na kutufanya tusahau kufikiria matatizo ya msingi ya taifa letu,badala yake tuijadili kadi.
sasa basi naomba nikushauri kuwa kama una uhakika kuwa Dr. Slaa anamiliki kadi ya M na anailipia,hivyo ni fika kuwa ni mwanachama wa CCM. Na kwa kuwa katiba ya CCM hairusu mwanachama kutumikia vyama viwili.
NAKUSIHI ILI KULINDA HADHI YA KATIBA YA CCM,ANDAENI UTARATIBU NA MUITE PRESS CONFERENCE MUMFUKUZE UANACHAMA KULIKO KUKAA NA KUZUNGUMZIA HOJA ZA KADI WAKATI WATANZANIA TUNA SHIDA KIBAO AMBAZO ZINAPASWA KUJADILIWA.
NAWASILISHA
sasa basi naomba nikushauri kuwa kama una uhakika kuwa Dr. Slaa anamiliki kadi ya M na anailipia,hivyo ni fika kuwa ni mwanachama wa CCM. Na kwa kuwa katiba ya CCM hairusu mwanachama kutumikia vyama viwili.
NAKUSIHI ILI KULINDA HADHI YA KATIBA YA CCM,ANDAENI UTARATIBU NA MUITE PRESS CONFERENCE MUMFUKUZE UANACHAMA KULIKO KUKAA NA KUZUNGUMZIA HOJA ZA KADI WAKATI WATANZANIA TUNA SHIDA KIBAO AMBAZO ZINAPASWA KUJADILIWA.
NAWASILISHA