kochakindo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 765
- 512
sasa nisaa 13:34 nipo kwenye meza za magazeti nimekosa magazeti ya nimekuta kipeperushi cha ccm kinaitwa Uhuru tu.na hata yaudaku yanakaribia kuisha lkn Uhuru nimengi sana najiuliza hivi ivihii kampuni inapata wapi pesa za kuwalipa wafanya kazi kumbe ndio maana siku za nyuma waligoma wakitaka watimiziwe mahitaji yao yalio kuwa yakikiukwa??