Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Napata wasi wasi kama DC wa Masasi bw Nape Mnauye anawataumikia ipasavyo wananchi wa huko kwa mujibu wa uteuzi wake,maana kila kukicha yeye na vyombo vya habari tu kupiga propaganda za chama.Ni vema basi angechagua moja (kama bado ni DC) kikutumikia chama chake kuliko kupoteza resources (maana analipwa mshahara,marupuru,usafiri etc) kutoka kwenye kodi zetu kwa kazi asiyoifanya.
Ni wazo tu.
Acha kufuatilia maslahi ya watu, hivi unafahamu kwamba nafasi za ukuu wa mkoa au wilaya hata zikifutwa hakuna litakaloharibika japokuwa wanatumia pesa kubwa sana ya walipa kodi, mimi ninavyo fahamu ni kwamba hizo nafasi zilikuwa created kisiasa zaidi ili kila ofisi ya serikali ipate muwakilishi wa chama kama ilivyo kwa mawizara, kila wazara lazima iwe na waziri na kila mkoa au wilaya lazima kuwe na mkuu wa mkoa au wa wilaya. Ukitaka uthibitishe hilo hebu angalia mkoa wa Dsm hauna mkuu wa mkoa kwa mda sasa lakini hakuna lililoharibika au nenda Masasi kawaulize kama kuna kitu kimesimama kwasababu yake.