Huyu nnape ni dc ila takribani wiki 2 sasa yupo kwenye siasa je huo u-dc kampa nani?maana muda wote huo sijasikia anatangazwa kuzindua mradi wowote wilayani masasi.na je itakuwaje mwanasiasa kama huyu mambo wilayani yaemde vizuri kama sio kisiasa zaidi?wana masasi mpo wapi?peoples power
hivi dc akienda likizo nani huwa anabaki? i mean sisemi kwamba ni sahihi kuzunguka huko katika gamba la CCM lakini haimaanishi hamna mtu
Huyu nnape ni dc ila takribani wiki 2 sasa yupo kwenye siasa je huo u-dc kampa nani?maana muda wote huo sijasikia anatangazwa kuzindua mradi wowote wilayani masasi.na je itakuwaje mwanasiasa kama huyu mambo wilayani yaemde vizuri kama sio kisiasa zaidi?wana masasi mpo wapi?peoples power
Huyu nnape ni dc ila takribani wiki 2 sasa yupo kwenye siasa je huo u-dc kampa nani?maana muda wote huo sijasikia anatangazwa kuzindua mradi wowote wilayani masasi.na je itakuwaje mwanasiasa kama huyu mambo wilayani yaemde vizuri kama sio kisiasa zaidi?wana masasi mpo wapi?peoples power
sense ya mtoa mada sio ni nani aliyebaki huko masai kama inavyosomeka, bali ni kuhoji juu ya ucanganya siasa na utendaji.
kwili unategemea kuna jambo mbalo ni against a makubaliano ya ccm liktakalo fanywa masasi??
Hai na DSM.hivi mbunge wa HAI anaishi wapi? nataka kujua tu...!
Yusuph Makamba.Hivi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni nani vile?
Huyu nnape ni dc ila takribani wiki 2 sasa yupo kwenye siasa je huo u-dc kampa nani?maana muda wote huo sijasikia anatangazwa kuzindua mradi wowote wilayani masasi.na je itakuwaje mwanasiasa kama huyu mambo wilayani yaemde vizuri kama sio kisiasa zaidi?wana masasi mpo wapi?peoples power
Huyu nnape ni dc ila takribani wiki 2 sasa yupo kwenye siasa je huo u-dc kampa nani?maana muda wote huo sijasikia anatangazwa kuzindua mradi wowote wilayani masasi.na je itakuwaje mwanasiasa kama huyu mambo wilayani yaemde vizuri kama sio kisiasa zaidi?wana masasi mpo wapi?peoples power
Kwa hapa tz cheo cha DC na RC havina umuhimu wowote hata mbwa anaweza kupewa hivyo vyeo na akaperform vizuri tu. Ndio maana jamaa anazunguka majukwaa ni kuinadi ccm kule kaacha koti lake linafanya kazi!
hivi mbunge wa HAI anaishi wapi? nataka kujua tu...!
Hai na DSM.
Kwani wa Igunga, Rungwe Magharibi, Bunda, Kigoma mjini na wengine wengi wanaishi wapi?
Huyu nnape ni dc ila takribani wiki 2 sasa yupo kwenye siasa je huo u-dc kampa nani?maana muda wote huo sijasikia anatangazwa kuzindua mradi wowote wilayani masasi.na je itakuwaje mwanasiasa kama huyu mambo wilayani yaemde vizuri kama sio kisiasa zaidi?wana masasi mpo wapi?peoples power