Nape: Magufuli aliposema Mwanza wasibomolewe kwa sababu ya kura alikuwa anatania

Wewe nape ni mnafiki kuliko unavyo onekana !! Ulikaa wapi na magufuli,akakwambia alitania !!! Sasa walivyokujaribu na Nissan,subiri uokotwe ruvu,au baharini.kujikomba gani huko ili urudishiwe uwaziri au upewe ukuu wa mkoa ??? Hovyo kabisa wewe.kauli ya magufuli haikua hata na uso wa utani,wala chembe ya aibu ni mtu wa kauli mbaya na ngumu maisha yake yote tangia uwazizi.kigamboni wapige mbizi,kama hawana hela ya kivuko nk. unayajua fika,leo unajikomba kumsafisha,ili akupende ? Ile bastola ilipita sasa bisbis watakuchoma nayo tu,mwanga kweli kweli huyu mtu !watu tunalia na matendo/kauli za magufuli wewe unamlinda !!! Unapata nn hasa cha kukufanya uwe hovyo hivyo?


hhhhhhhhhhaaaaaaaa laiti ungetulia!ungemwelewa#nape
 
Kwa hiyo kama ni utani bomoa bomoa itaendelea au.?

Nappe Ni utovu wa nidhamu kusema Rais anatania wakati kauli yake imehusisha mawaziri zaidi ya watatu.!
...ukiona hivyo ujue kashanusishwa Ubalozi
 
Kama unafikiri kauli yake ilikuwa ni utani, jaribu kwenda kunyume chake na uwabomolee wananchi kama walivyobomolewa Wa kimara! Hapo ndipo utakapojua uhalisia Wa watu "wasiojulikana"!
 
Mtu wa "Hapa Kazi Tu" kachemka mpaka analeta utani kwenye kazi muhimu?

Hiyo gia ya kutania tunaijua sana, ni gia inayotumiwa pale watu wanapokosa cha kusema kumtetea.
 
Nakubaliana na Mbunge Nape Nnauye. Ule ulikuwa utani wa Rais kwa wananchi wake. Lakini,kauli za Rais ni very sensitive!
Kama alikuwa utani je wamebolewa au utani umefanyiwa kazi?.Hata kama ni kuutafuta u DC wa Mnyeti utafute kwa stahaa.
 
Mbungewa mtama Nape Nnauye akiwa anahojiwa na DW amesema kitendo cha rais Magufuli kusema watu wa Mwanza wasibomolewe kwa kuwa walimpa kura ilikuwa ni utani sababu rais ni mtu anayependa kutania

Amesema pia ameshangazwa na bomoabomoa iliyofanywa kwa wananchi ambao serikali ilikuwa imewarhusu kujenga na kusema jambo hilo halifai

Ameseendelea kusema pia hana mpango wa kuhama CCM lakini hawezi kuapa kama hatahama chama hicho


Nadhani hata utenguzi wa Nape mkuu alikuwa anatania.
 
Kauli yoyote ya kiongozi wa serikali ni Kauli niliyodhamiriwa. Hivyo wasiseme utani hiyo ndio dhamira yake. Hata mchicha ulianza kama mbuyu
 
Erythrocyte, Msema kweli mpenzi wa Mungu! Nami nimekusoma, kwenye hili nami nmemsoma Nape zaid ya mistari iloandikwa.
 
Nakubaliana na Mbunge Nape Nnauye. Ule ulikuwa utani wa Rais kwa wananchi wake. Lakini,kauli za Rais ni very sensitive!
Unasema Utani wakati wengine wanabomolewa!?... Kimara! tena kwa kukiuka amri ya mahakama! Hao mbona hakuwatania? Utani katika ubaguzi, double standards! Utani unaufanya kwa kabila lako, na hawabomolewi, lakini kwa wachaga ? wahaya? etc hakuna utani!
Basi let us put it that way, akubali hata alipomfukuza uwaziri alikuwa anatania, Rais ni mtu wa kupenda utani!
 
Nape hajielewi, after all hawa wako katika nafasi hizo kwa mgongo wa baba zao, sio fighters, sio kwa elimu zao, sio fighter wa kutafuta maisha, sio kwa outstanding performances zao in a society etc, etc! Huyu rais ametikisa influence za baba zao, ona wanavyo fumble around with press conferences and tweets !
 
Back
Top Bottom