denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,937
Haya mnaopenda kumshangilia mshangilieni na leo.. eeeeeh
Au kwa kuwa kasema yeye haji upande wenu!?
Ha ha haaaa.. ila alishayasema haya kabla ma mlijadili humu huku mkilia na machozi yakiwatoka na kujipiga vibao vya usoni pia.