Kitu gani kinamzuia kuyaeleza haya kwenye kampeni Igunga ?
nape doesn't deserve 2 be a politicians..ni basi tu Sir name ndio inamweka mjini!
Hana upeo wa kuona mbali zaidi ya tumbo lake na kujichubua, sorry bro, anza wewe kujivua gamba coz ndio unakizika chama..
nape doesn't deserve 2 be a politicians..ni basi tu Sir name ndio inamweka mjini!
Hana upeo wa kuona mbali zaidi ya tumbo lake na kujichubua, sorry bro, anza wewe kujivua gamba coz ndio unakizika chama..
Mheshimiwa Nape ni wakati muafaka sasa kuachana na maswala ya kuvuana gamba sana sana hao waandishi wanataka kukupotezea malengo ni vizuri ukawa unaongelea maswala mengine ya chama kuliko hili swala la kuvuana gamba kwani kimsingi linapotoshwa na wana CCM wenyewe pamoja ni hawa MAGWANDA
Mkuu, kadri jf inavyopanda chati, documentation imekuwa ni tatizo. Ccm wangemwalika RA kwa barua, kesho yake ungeikuta hapa! Ukweli unabaki palepale, ccm si tu imemwomba, bali imemwangukia kabisa RA ahudhurie kampeni yao. Licha ya kuwaponda kwa siasa uchwara na kuwalaumu swala la kujivua gamba, bado amekubali kuwapigia kampeni! Ni kama mwanamke uliyezaa nae mkakorofishana. Ukimwangukia anasahau yote kwa kisingizio cha watoto. Upuuzi mtupu!!?
Mheshimiwa Nape ni wakati muafaka sasa kuachana na maswala ya kuvuana gamba sana sana hao waandishi wanataka kukupotezea malengo ni vizuri ukawa unaongelea maswala mengine ya chama kuliko hili swala la kuvuana gamba kwani kimsingi linapotoshwa na wana CCM wenyewe pamoja ni hawa MAGWANDA