bamkubwa kwa ushirikina ...hujambo!hizi cheni za wanasiasa sio cheni za urembo..
most of times ni cheni walizopewa mlingotini bagamoyo...
hawawezi vaa hirizi zitaonekana,so wanavaa cheni instead.....trust me
bamkubwa kwa ushirikina ...hujambo!
Mbona Mkapa alikuwa anavaa Cheni na bado anavaa mpaka leo lakini hatukusema na hatumsemi? Ni ngumu kuieleza lakini laiti ningekuwa na uwezo, hakuna public figure ingekuwa inaruhusiwa kuvaa vitu kama hivi!!!.
Tiba
Cheni ya shingoni kwa mwanaume sioni tatizo ila hiyo ya mkononi kaka Nape mpe mkeo please. Hata mimi nimeshtuka sijawahi ona mwanaume kavaa hiyo kitu mkononi. Next mtaanza kuvaa na vikuku. Lo haikawii mkawa mnagombea muda wa kutumia dressing table na wake zenu sasa.
Hawavai Dhahabu!
Nijuavyo mimi Gold ni pambo la mwili na pambo maana yake linalenga kuvutia mbele ya macho ndio maana wanawake wanapenda sana kuvaa mapambo ya dhahabu kwani pamoja na kupendezesha mwili bali pia inasemekana hulainisha mwili
sasa cha kujiuliza ni kwa nini mwanamme ambaye ni rijali anavaa chen ya Gold not only shingoni bali hata mikononi?
Je Nape anajaribu kutupatia message gani au kuna jambo anajaribu kutueleza INDIRECTLY?
Je CCM mliopo humu mnaona huu ni mfano bora au ndio mnaanza kujionyesha mko inclusive of all sorts of pple?
Ingekuwa ndugu yake wa kike Bimdogo kavaa cheni ningeelewa lakini hata huyo bimdo mwenyewe havai haya madubwasha iweje huyu jamaa anaona poa tuuu?
Nijuavyo mimi Gold ni pambo la mwili na pambo maana yake linalenga kuvutia mbele ya macho ndio maana wanawake wanapenda sana kuvaa mapambo ya dhahabu kwani pamoja na kupendezesha mwili bali pia inasemekana hulainisha mwili
sasa cha kujiuliza ni kwa nini mwanamme ambaye ni rijali anavaa chen ya Gold not only shingoni bali hata mikononi?
Je Nape anajaribu kutupatia message gani au kuna jambo anajaribu kutueleza INDIRECTLY?
Je CCM mliopo humu mnaona huu ni mfano bora au ndio mnaanza kujionyesha mko inclusive of all sorts of pple?
Ingekuwa ndugu yake wa kike Bimdogo kavaa cheni ningeelewa lakini hata huyo bimdo mwenyewe havai haya madubwasha iweje huyu jamaa anaona poa tuuu?
Pamoja na kwamba ninaichukia CCM kwa nguvu na akili zangu zote..This is a personal choice na nafikiri we should stay out of it. Nape akitaka kuvaa chochote anachotaka hata kama ni hereni masikioni, I am cool with it, so long as hajamwibia mtu. Kuna issues za maana za ku discuss and not this one.
<br /><br />hakuna kosa ana haki na uhuru wa kuvaa chochote akitakacho acha kashfa