Katibu waitikad na uenezi wa ccm nape nnauye anatarajia kutua igunga leo kwaajili ya mapokezi ya mbunge aliyerejeshewa ubunge na mahakama juzi dr.kafumu
nape anatarajia pia kuwahutubia wananchi waigunga .
Hongera sana nape hongera dr.kafumu nenda ukawatetee wanachi nakuitetea ilani ya ccm
ccm oyeeeeeeeee
naomba kuwasilisha
nape anatarajia pia kuwahutubia wananchi waigunga .
Hongera sana nape hongera dr.kafumu nenda ukawatetee wanachi nakuitetea ilani ya ccm
ccm oyeeeeeeeee
naomba kuwasilisha