Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,262
- 9,715
Ndugu zangu Watanzania,
Leo ni kishindo ,ni mtetemeko na mateka kwa siasa za Tanzania pale ambapo majabali wawili kutoka ndani ya chama cha Mapinduzi CCM watakapo kwenda kuisimamisha na Kuitetemesha nchi kutoka pwani ya Tanzania.
Ambapo katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa chama cha Mapinduzi Taifa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda atakuwa akiungrumaa kama Simba kutokea pangani Tanga atakakofanya mkutano wa hadhara kuzungumza na maelfu ya wananchi ambao wanatarajia kufurika na kumiminika uwanjani kama maji ya bahari.ambapo katika mkutano huo atazungumza mengi juu ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi pamoja na kusikiliza na kutatua kero papo kwa papo.
Wakati huo huo katika jiji la Dar es salaam,jiji la raha na mafunzo,jiji la RC Chalamila ,jiji la kibiashara,jiji lenye bandari tegemeo kwa nchi takribani nane kutakuwa na kishindo kikuu cha mapokezi ya Jabali mwingine na Tembo wa kusini Dr Emmanueli Nchimbi katibu mkuu wa CCM Taifa.ambapo inatarajiwa shughuli zote kusimama katika jiji hilo kwa ajili ya mapokezi ya katibu mkuu huyo tishio kwa vyama vya upinzani hasa CHADEMA,ambapo tangia kuteuliwa kwake inasemakana kuna viongozi wamepata mshituko wa moyo na msongo wa mawazo kutokana na kuelewa vyema uchapa kazi wake
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
View attachment 2877031View attachment 2877032View attachment 2877033View attachment 2877034View attachment 2877035
Leo ni kishindo ,ni mtetemeko na mateka kwa siasa za Tanzania pale ambapo majabali wawili kutoka ndani ya chama cha Mapinduzi CCM watakapo kwenda kuisimamisha na Kuitetemesha nchi kutoka pwani ya Tanzania.
Ambapo katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa chama cha Mapinduzi Taifa Mwamba Mwenyewe Paul Makonda atakuwa akiungrumaa kama Simba kutokea pangani Tanga atakakofanya mkutano wa hadhara kuzungumza na maelfu ya wananchi ambao wanatarajia kufurika na kumiminika uwanjani kama maji ya bahari.ambapo katika mkutano huo atazungumza mengi juu ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi pamoja na kusikiliza na kutatua kero papo kwa papo.
Wakati huo huo katika jiji la Dar es salaam,jiji la raha na mafunzo,jiji la RC Chalamila ,jiji la kibiashara,jiji lenye bandari tegemeo kwa nchi takribani nane kutakuwa na kishindo kikuu cha mapokezi ya Jabali mwingine na Tembo wa kusini Dr Emmanueli Nchimbi katibu mkuu wa CCM Taifa.ambapo inatarajiwa shughuli zote kusimama katika jiji hilo kwa ajili ya mapokezi ya katibu mkuu huyo tishio kwa vyama vya upinzani hasa CHADEMA,ambapo tangia kuteuliwa kwake inasemakana kuna viongozi wamepata mshituko wa moyo na msongo wa mawazo kutokana na kuelewa vyema uchapa kazi wake
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
0742-676627.
View attachment 2877031View attachment 2877032View attachment 2877033View attachment 2877034View attachment 2877035