Kashindye anarudi CCM leo
nape nae anaweza kuunguruma kweli?ana ubavu huo?nafikiri anakuja kuhutubia wana ccm wachache sana waliobaki hapo igunga.angekuwa na uwezo wakunguruma ange endeleza ile hoja yao ya kuvua magamba,nape bana kimyaaaaa.
Sasa wamezomewaje?. Fafanua mkuu.
Leta habari kamili, kiu yangu haijaisha pale uliposema "wamezoomewa" then ukauchuna bila kusema ilikuwaje....funguka sasa..
Mkurupukaji huyu anafaa kusamehewa.Alikuwa anaota ndoto za mchana.
Leta habari kamili, kiu yangu haijaisha pale uliposema "wamezoomewa" then ukauchuna bila kusema ilikuwaje....funguka sasa..
Shonza naomba nikutaarifu kuwa humu jf kunawatu wako milembe day kwa hiyo ukijibizana nao jua hilo siyo wazima hata kidogo mmojawapo ben saa nane.Mkurupukaji huyu anafaa kusamehewa.Alikuwa anaota ndoto za mchana.
mbona umeshtuka hivyo we binti!
huko siendi :mimba::mimba:Mkuu kwani huyu nae ni binti au m-mama!!? Kwani inatakiwa achoropoe mara ngapi ili aitwe M-mama?
Kwa hisani ya intelijensia!!