Nape kuunguruma Igunga leo

Nape kuunguruma Igunga leo

Heading haiendani na kilichomo ndani...umeandika kichina china mno.
 
Shonza naomba nikutaarifu kuwa humu jf kunawatu wako milembe day kwa hiyo ukijibizana nao jua hilo siyo wazima hata kidogo mmojawapo ben saa nane.

hivi wewe unaweza kumjua saa nane kumzidi shonza kweli!
 
Vijana mmezoea kutembea na sumu na kufanya ugaidi mkiona watu wanafanya mambo kistaarabu mnatokwa povu
 
npe namba yake ya cm kuna fuso zangu zimefuata mchele pale sasa mzigop haujajaa nataka anipe dili la kubeba raia kutoka nzega ili madereva wasikae bure/.

Hahaha hahaha raha sanaaaa....Nape hebu nipatie "kinana lager" bariiiidi kabisa...
 
Uuuuuuwiiiiiiiiii..............! Nimeona maandishi ya mtu ALIYEBINAFSISHA AKILI! Dada mbona ile speed imepungua, Ushakuwa OIL CHAFU, eti?
Tulia wewe dawa iingie vizuri...shonza ni dozi kubwa
 
Leta habari kamili, kiu yangu haijaisha pale uliposema "wamezoomewa" then ukauchuna bila kusema ilikuwaje....funguka sasa..
Kwa uelew wako unafikiri ulichokiandika kunamtu atakuamini?,labda awe mwehu kama wewe,uko milembe day wewe.
 
Kama ada tunategemea double standards atatukana matusi yote na hakuna cha TISS wala cha maadili! Akisema wa ccm amesema akisema mpinzani ameropoka.

Nasubiri humu kuskia matusi yake kwa CHADEMA, maana ndo kitu pekee wanaweza fanya...
 
Ccm chama kubwa, ukiichukia unajitafutia presha bure
 
Back
Top Bottom