Nape kuunguruma Igunga leo

Nape kuunguruma Igunga leo

matusi ni ya kina sugu, msigwa na lema na wenje

Za hawa waheshimiwa ni FIGURATIVE LANGUAGE. Tatizo waheshimiwa wenu wengi ni wa MMEMKWA hawakawii kupagawa. Hawana hata muda wa kutafakari neno zaidi ya kukurupuka na hatimaye kupandwa na jazba na kutoa matusi.

Eti kusema F**** Y*** anaona ndio usomi wenyewe kumbe kaonyesha upunguani wake mbele ya jamii.
 
Mkurupukaji huyu anafaa kusamehewa.Alikuwa anaota ndoto za mchana.
Mwanangu, umalaya ni biashara ya zamani sana, ilikuwapo hapa duniani hata kabla Yesu mtoto wa Mariam hajazaliwa! cha ajabu haikuwahi kumpa heshima mfanyabiashara hiyo!
 
Za hawa waheshimiwa ni FIGURATIVE LANGUAGE. Tatizo waheshimiwa wenu wengi ni wa MMEMKWA hawakawii kupagawa. Hawana hata muda wa kutafakari neno zaidi ya kukurupuka na hatimaye kupandwa na jazba na kutoa matusi.

Eti kusema F**** Y*** anaona ndio usomi wenyewe kumbe kaonyesha upunguani wake mbele ya jamii.

kumbe anakunya kuku, bata ndio anaharisha?
 
Juzi alitukana wagonjwa wa kifafa.It was a reckless statement kutoka kwa msemaji wa chama tawala kunyanyapaa wagonjwa wa kifafa.
huwa natatizwa sana na thinking capacity za viongozi wetu
 
Mwanangu, umalaya ni biashara ya zamani sana, ilikuwapo hapa duniani hata kabla Yesu mtoto wa Mariam hajazaliwa! cha ajabu haikuwahi kumpa heshima mfanyabiashara hiyo!

hayo maneno ungemwambia mwenyekiti wako ambaye ametia aibu kwa kuwabebesha mimba wabunge wa viti maalum, mimba zisizotarajiwa na sasa wabunge hao wenye mimba za rejareja wanaogopa kuhudhuria vikao vya bunge.
 
hayo maneno ungemwambia mwenyekiti wako ambaye ametia aibu kwa kuwabebesha mimba wabunge wa viti maalum, mimba zisizotarajiwa na sasa wabunge hao wenye mimba za rejareja wanaogopa kuhudhuria vikao vya bunge.
pole sana dada, mbona unatoa utomvu bila kugemwa?narudia tena, umalaya ni biashara ya kale sana lakini haijawahi mpatia heshima anayeifanya! kama wewe ni mmoja wao acha mara moja maana utaishia kufedheheka tu!
 
pole sana dada, mbona unatoa utomvu bila kugemwa?narudia tena, umalaya ni biashara ya kale sana lakini haijawahi mpatia heshima anayeifanya! kama wewe ni mmoja wao acha mara moja maana utaishia kufedheheka tu!

mama, ndio mana nikakwambia hata mwenyekiti wetu haitamfikisha peponi hiyo biashara mana wabunge wetu w viti maalum saivi wanalia na mimba zisizotarajiwa
 
Nape we jembe mkuu we piga kazi achana na wapiga wachadomo kwanza 2015 majimbo ya arusha mjini, mbeya mjini, jimbo la mnyika yote twarudisha ccm.
 
mama, ndio mana nikakwambia hata mwenyekiti wetu haitamfikisha peponi hiyo biashara mana wabunge wetu w viti maalum saivi wanalia na mimba zisizotarajiwa
Labda hukijui kiswahili bi mdogo! umalaya ni biashara ya mtoto wa kike kama wewe kuuza mwili wake. Sasa huyo mwenyekiti wenu naye ni mtoto wa kike kama wewe? kama ni mtoto wa kike anawezaje kuwapa mimba wanawake wenzake? Nakushauri tena acha biashara ya umalaya, yaani kujiuuza mwili, umalaya unakudharirisha mwanangu. Tumia elimu yako kwa manufaa! au ndio nyie muliopata shahada kama vyeti na sio taaluma?
 
RED card.jpg
red card nape
 
Uuuuuuwiiiiiiiiii..............! Nimeona maandishi ya mtu ALIYEBINAFSISHA AKILI! Dada mbona ile speed imepungua, Ushakuwa OIL CHAFU, eti?

Huyo anatumika kama kiburudisho cha magamba...wanapokezana kwa zamu....hana jipya.
 
Magwanda matumbo joto kweli

Wacha kijisemesha hovyo..... Magamba yaliyokuwa yanavuliwa yameishia wapi?? Are you really a graduate??? Huyo Nape Nnauye nani kakueleza Ana jipya la kusema baada ya sarakasi za gamba kumshuda???
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom