King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Ama kweli hizi ndio zile siku 90!
Mweh!
lol, kalenda iko kwenye foleni. Kuwa na subra ndugu
Ama kweli hizi ndio zile siku 90!
Mweh!
2015 ni zamu ya kaskazini, ni zamu ya kanisa.....Lowassa for presidency.Naona gwandaz wamepata tumbo la kuhara wakati hata habari si ya uhakika. Kama ni kweli basi Slaa anahama nchi bila kuaga.
Mkuu usifurahi sana, sababu CDM ikizikwa usidhani wewe utabaki salama. Ufisadi ukitamalaki Kila kitu cha nchi hii kitauzwa. Labda kwenye familia yako ni wewe tu utafaidi kwenye mfumo wa kifisadi utakaoongozwa na Lowasa. Fikiria ndugu zako na watanzania walio wengi watakaobaki wanalia..., hata fikiria ni ufisadi huu huu unafanya madini yetu yasitusaidie chochote, na ufisadi huu huu ndio unatukosesha huduma muhimu Kama za afya, maji, elimu nk na kufanya hata bei ya umeme kuwa juu pamoja na kuwa na rasilimali lukuki!