Nape kadhihirisha uongo wake Dodoma leo

Nape kadhihirisha uongo wake Dodoma leo

...,kuwa wakitumia kila namna na nyenzo wanazoweza katika kutiliana fitina na kuchafuliana ili kupoteza mustakbali wa mmoja badala ya mwingine.,ni wazi kuwa yaliyoandikwa hapa ni upotoshaji wa kimantiki unaolenga kupindisha hali halisi ya mambo.,kwani ninefuatilia kwa makini ktk post hii na kugundua kuwa waandishi hawaandiki ila kile "walichoambiwa ama kuamuriwa kukiandika" na kila mmoja anaandika si kwa kuwa anakijua anachokiandika ila ni kwa kutengezea nafasi ktk tumbo lake,HAKIKA HUU NI MSIMU WA KALAMU.
 
Kibaya zaidi ni pale anaposahau kuwa kuna sauti kawa recorded akitamba kuwa hayo yalikuwa ni maamuzi ya chama. Ni bora angeomba samahani kuwa alikosea na si waandishi wa habari waliokosea. Na hata hivi karibuni alikuwa recorded akimsema Lowassa, sasa leo anakuja kuvilaumu vyombo vya habari.....shame on him.

Wenye vyombo vya habari nao wangemtaka awaombe samahani, tofauti na hapo wachunie stori za magamba. Tatizo la magamba wanaona tabu kuomba samahani pale wanapokosea. Kazi ipo kweli kweli.....na yeye anasubiri kuvuliwa gamba...watch.
 
Kweli hawa jamaa wanafiki kweli na hawaoni hata aibu.Kwa kubadilisha kauli NAPE ni sawa na kuwadharau wanachama wake tena ni kama kuwaona mbumbumbu wasiokumbuka alichokisema.Sasa MAGAMBA yatageuka MAFUTA YA KUN'GRISHA CHAMA
 
Watanzania sasa muone Kiongozi kama Nape anadhubutu kukana maneno aliyoyatamka yeye mwenyewe na Kuwasingizia Waandishi wa Habari kuwa walimkariri sivyo, hii ni dharau kwa Watanzania na Waandishi wa habari kwa upande Mwingine.

Hata kama magamba yangevuliwa haingewasaidia Watanzania. Kama ungekuwa unaongelea kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria ingekuwa na mantiki. Lakini hadithi za magamba ni za kuwapumbaza tu. No big deal !! hata kama wangefukuzwa kwenye chama. Kwani kujiuzulu kwa Rostam kumewasaidia nini Watanzania?
 
Hapo kwenye nyekundu nahisi una maslahi na habari hii, kama wanaandikaga oungo mbona hakanushagi wala kuwashitaki? usiangalie kuingiza siku kwa ujinga au ujanja wa mmoja..chaliara..


Nape yupo sahihi 100% vyombo vya habari ndiyo tatizo Tanzania. Kila siku wanamnukuu vibaya Nape na hii ni kutokana na njaa zao wanazoendekeza. Nape hajawahi kutoa kauli yoyote ya kufukuza gamba huu ni uwongo mkuu. The devil is MEDIA na anayebisha na kauli yangu amuulize FLORA WINGIA, Mhariri wa NIPASHE aliyemuomba radhi NAPE Mahakamani Arusha kwa kukosea kuandika alivyosema Nape kuwa ' WANAJIANDAA KUCHUKUA JIMBO LA ARUSHA KWANI WANA HAKIKA WATASHINDA KESI YA UCHAGUZI DHIDI YA LEMA'. Hapa ndipo uozo wa Media ulipo. Ninawashauri watanzania wenzangu kuwa vyombo vya habari Tanzania ni bora magazeti ya udaku unasoma huku ukiamini kuwa ni uzushi na uwongo kuliko magazeti yanayojiita makini. Nape kawatemea mate usoni mchana peupe wanachukua lesso na kujifuta huku wanacheka na kupaza sauti zao 'TAWILE NAPE TAWILE'-UMESEMA KWELI NAPE UMESEMA KWELI. LOL! SHAME ON THE MEDIA UCHWARA.

WELL DONE NAPE HIT E'M HARD, THEY ARE SCREWING UP THEIR PROFESSION. LET E'M KNOW THAT WHENEVER THEY SIDE WITH CCM THEY ARE IN THE HANDS OF A CHAMELEON, AND THEY SHOULD ACCEPT BEING TISSUE PAPER OF CCM BECAUSE YOU HAVE RESOURCES AND AUTHORITY.

NILIKUWEPO!!!!!
 
Huyo dogo watamzima kwa kufuatafuta mambo ya wakubwa zake!
 
Kweli siasa za ccm lazima uwe mwehu, au siasa zina wenyewe na wenyewe ni wakina ni ccm, au siasa ni vice verser maana waliomtangulia nape kwenye nafasi aliyonayo walikuwa hivyo hivyo, au labda ndio vipaumbele vya siasa za ccm kuwa ni lazima uwe bingwa wa kuropoka na kukanusha.....hii kali kweli jamani mwenye namba yake siamuite aje na hapa akanushe?? naamini anaweza akaja hapa na akakanusha kwamba hajakutana na waandishi au walimnukuu vibaya
 
n1.JPG


Nape Mnauye wakati akiongea na vyombo vya habari mjini Dodoma leo ambako vikao vya Chama cha CCM vikiendelea amebadilisha kuali mbiu ya awali aliyokuwa akizunguka nchi nzima kutangaza majina ya wanaotakiwa kuachia ngazi . Leo kaja na mpya kwamba vyombo vya habari vilipotosha ukweli wa maana ya kuvua magamba kwa maana ya kubadilika na wala si kuwafukuza watu. Hii imekaaje?

Huyo nape carolite zimeshaingia kwenye masaburi na ubongo, unategemea ataongea nn?
 
Nape wa ccj mzee wa kukanusha avimbe asivimbe watu wamemtia aibu..tumejua akisema hapana basi maana yake ndio..dedication yake Kigeugeu by Jaguar pole sana bro
n1.JPG


Nape Mnauye wakati akiongea na vyombo vya habari mjini Dodoma leo ambako vikao vya Chama cha CCM vikiendelea amebadilisha kuali mbiu ya awali aliyokuwa akizunguka nchi nzima kutangaza majina ya wanaotakiwa kuachia ngazi . Leo kaja na mpya kwamba vyombo vya habari vilipotosha ukweli wa maana ya kuvua magamba kwa maana ya kubadilika na wala si kuwafukuza watu. Hii imekaaje?
 
NAPE kashindwa kuota moto mkubwa wa Edward Lowassa! hahaha!!!...
.........hawezi, ngoma nzito hiyo, arudi kwa waliomtuma, awaambie, wazee pambaneni wenyewe mimi bado mdogo ati, ENL sio saizi yangu; akiwaambia haya, atakuwa muungwana
 
Hicho kidude kipana kama screen kilicho mbele yake ni nini? Mbona kama kina mazlilisha upeo wake?
 
Nafasi hiyo insmpatia Nape fursa chochote atakacho. Iwe uwongo iwe ukweli kwake sawa tu.
 
Usipoteze muda kutafuta sababu ya kuwaamini watu unaojua hawaaminiki japo kwa sura,tabia,hulka na matendo yao.
 
Nape puuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kama Nape kakana adhma ya kujivua magamba, basi naona ndani ya CCM kuna mpango wa kumweka Lowasa kama mgombea wa uraisi. Hii ni baada ya kuona hamna mtu yeyote anayeweza kukitoa chama hicho.
 
Kama Nape kakana adhma ya kujivua magamba, basi naona ndani ya CCM kuna mpango wa kumweka Lowasa kama mgombea wa uraisi. Hii ni baada ya kuona hamna mtu yeyote anayeweza kukitoa chama hicho.
 
Hii ni dalili ya wazi kabisa Nape kupata anguko la mende. Hata Rostam aliharakisha na leo anajutia kwa nini aliamua hivyo. Hata hivyo inaelekea kama Rostam hakupendwa na wanaccm wengi kwa sababu zao binafsi, maana tangu Rostam ajiengue moto wa kuwavua magamba wale mapacha watatu uliyeyuka ghafla.
 
Back
Top Bottom