Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
Watanzania sasa muone Kiongozi kama Nape anadhubutu kukana maneno aliyoyatamka yeye mwenyewe na Kuwasingizia Waandishi wa Habari kuwa walimkariri sivyo, hii ni dharau kwa Watanzania na Waandishi wa habari kwa upande Mwingine.
Yupo sawa mkuu sema waandishi wa bongo nasisi wananchi bado hatujanawa uso waandishi wakiacha kuandika habali zake nasisi wananchi tusiende kwenyemikutano yake akijaa na tisheti,kofiya tumwambie tutajinunulia wenyewe anaujanja ganii? tumemudekeza akisema kesho anakanusha kesho kutwa munamushangiliya waandishi nawo wanajipendekeza munataka nape afanyeje