Kiluvya2011
JF-Expert Member
- Feb 18, 2011
- 215
- 31
yaani nusura nivunje screen ya BB...huu ucamerun utaisha lini ccm??,...wadau mwenye clip aliyobwabwaja huyu nepe nchi nzima akimtaja RECHAL kama gamba naomba atubandikie hapa..!
Don't personalise this matter, you won't discover the truth. Tatizo hapa si Nape, ni uongozi mzima wa CCM uliokosa maadili na mwelekeo. Dawa iko jikoni 2015 ; Mashahidi ni lukuki - Unip, Kanu, Anc (Malawi), Upc n.k.![]()
Nape Mnauye wakati akiongea na vyombo vya habari mjini Dodoma leo ambako vikao vya Chama cha CCM vikiendelea amebadilisha kuali mbiu ya awali aliyokuwa akizunguka nchi nzima kutangaza majina ya wanaotakiwa kuachia ngazi . Leo kaja na mpya kwamba vyombo vya habari vilipotosha ukweli wa maana ya kuvua magamba kwa maana ya kubadilika na wala si kuwafukuza watu. Hii imekaaje?
![]()
Nape Mnauye wakati akiongea na vyombo vya habari mjini Dodoma leo ambako vikao vya Chama cha CCM vikiendelea amebadilisha kuali mbiu ya awali aliyokuwa akizunguka nchi nzima kutangaza majina ya wanaotakiwa kuachia ngazi . Leo kaja na mpya kwamba vyombo vya habari vilipotosha ukweli wa maana ya kuvua magamba kwa maana ya kubadilika na wala si kuwafukuza watu. Hii imekaaje?