Uchaguzi 2020 Nape: Hamna haja ya goli la mkono lakini tusisahau pia VAR ya upinzani ni mbovu

Wewe umetumia kigezo gani kusema ameshindwa kuwashawishi wananchi?au kwa kua hajakushawishi wewe basi unageneralize
Ndio hapa nasema ya kuwa ule ndio uchaguzi ulikuwa tough sana kwa sababu baadhi ya wagombea hasa Lowassa alikuwa anajua indoor systems za CCM hata zile za kuiba kura "kama alivyosema". Hii experience ilikuwa na advantage sana upande wake.

Lakini Huyu T. Lissu anatrend tu kwa blaah blaah zake..Leo ametoa tamko hili,kesho lile.
Na ameshindwa kabisa kuwashawishi wananchi wampigie kura, Zaidi zaidi kila siku inayoenda kwa Mungu wameaanza kumtambua Lissu ni Mtu wa namna gani.

For sure anazidi poteza ile popularity, influence/huruma yake.
watu wanazidi kumuona ni wa kawaida kabisa masikioni wao kama mropokaji tu.

Hili Jambo mtakuja kuamini baada ya october 28 endapo M/Mungu akatusaidia tukapiga kura salama.
Na naombea sana Upinzani wasiususie huu "Uchaguzi".
 
Huu uchaguzi ni simple sana kwa CCM.

Naamini wakubwa wenzangu watanisapport kwa hili.

1.Upinzani wa Mrema.

2.Upinzani wa Dkt. slaa.

3.Upinzani wa Lowassa.

Hapa watoto hawawezi elewa hata kidogo, Ndio maana wanapagawa na TUNDU.

Unachoshindwa kuelewa ni kuwa Hao wote uliotaja ni matawi ya ccm

So hapo hapakuwa na upinzani ila kulikuwa na matawi ya ccm tu

Mrema ni mtu wa serikali, Lowasa the same, slaa too Hao wote ni ccm
 
Enzi zile Mrema aliitwa rais wa walalahoi watu walikuwa wanasukuma gari lake kwa mikono, sijui nini kilipita pale magabachori waliponea chupuchupu. Historia ni mwalimu mzuri sana katika maisha

Ilikuwa ni plan Ile ww hahaha acha ushamba
 
Kumbe upande wenu..Kupigwa risasi ni moja sifa kubwa ya kiongozi bora katika nchi.hahaha!

Endapo unajua sifa za kiongozi bora hata ngazi ya serikali za mtaa hapo ndipo atleast utajua tunazungumza nini!

Hahaha. Kumbe ulikuwa hujalijua hilo? Hata kipimo cha ukamanda ni idadi ya kesi ulizonazo mahakamani na muda wako wa kukaa mahabusu!
 
Huu uchaguzi ni simple sana kwa CCM.

Naamini wakubwa wenzangu watanisapport kwa hili.

1.Upinzani wa Mrema.

2.Upinzani wa Dkt. slaa.

3.Upinzani wa Lowassa.

Hapa watoto hawawezi elewa hata kidogo, Ndio maana wanapagawa na TUNDU.
Huu uchaguzi si simple kama unavyodhani
Na Lisu sio hao na hii si miaka hiyo hii ni2020
Kama pia umekariri kwamba watanzania sio watu wa kuandamana na unahisi labda ni kama maandamano ya Mange Kimambi unakosea Sana na ccm kama wanadhani hivyo hiyo ni moja ya mistake zitakazo wacost pakubwa sana
Nikupe mfano tu Kama wewe ni shabiki lialia wa Simba au Yanga alafu mmeenda uwanjani mmefungwa na mnaamini kabisa ushindi wao sio halali ushindi wao ndiyo wakwenu matokeo yamegeuzwa ni nini kitatokea
Hiyo presha ya hao mashabiki izidishe Mara 100 kwenye uchaguzi huu
Inauma Sana mtu umemchagua na unaamini atashinda alafu awe kashindwa
Hata kama ni kweli kashindwa bado itakuuma lakini ndiyo hivyo inabidi ukubali matokeo
Sasa inakuwaje ukigundua kakuibia na uambiwe ingia barabarani kutetea ushindi wako ni faraja Sana na mtashangaa huo umati siku hiyo
 
Ndio hapa nasema ya kuwa ule ndio uchaguzi ulikuwa tough sana kwa sababu baadhi ya wagombea hasa Lowassa alikuwa anajua indoor systems za CCM hata zile za kuiba kura "kama alivyosema". Hii experience ilikuwa na advantage sana upande wake.

Lakini Huyu T. Lissu anatrend tu kwa blaah blaah zake..Leo ametoa tamko hili,kesho lile.
Na ameshindwa kabisa kuwashawishi wananchi wampigie kura, Zaidi zaidi kila siku inayoenda kwa Mungu wameaanza kumtambua Lissu ni Mtu wa namna gani.

For sure anazidi poteza ile popularity, influence/huruma yake.
watu wanazidi kumuona ni wa kawaida kabisa masikioni wao kama mropokaji tu.

Hili Jambo mtakuja kuamini baada ya october 28 endapo M/Mungu akatusaidia tukapiga kura salama.
Na naombea sana Upinzani wasiususie huu "Uchaguzi".
Wakati wa Lowassa alipiga pushup na push up hupigwa na wanaume safari hii anapiga magoti ambayo kwa tamaduni za Tanzania hupigwa na wanawake hasa wa bara hasa wasukuma.
 
Back
Top Bottom