Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,780
- 218,404
Akizungumza leo Jijini Dar es Salaam , tena Mbele ya Rais Samia , Nape Nnauye amesema kwamba kutokana na mradi wa Mawasiliano unaoenda kusambazwa vijijini kote , basi bila shaka kwenye uchaguzi mkuu wa 2025 Hakutakuwa na goli la mkono .
Sisi tuliosema CCM haikushinda Urais wala Ubunge kwenye Majimbo Mengi yakiwemo majimbo ya Mbeya Mjini , Mtama na Rwangwa tuombwe radhi kwa kejeli zote tulizoelekezewa .
Toa Maoni yako .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Sisi tuliosema CCM haikushinda Urais wala Ubunge kwenye Majimbo Mengi yakiwemo majimbo ya Mbeya Mjini , Mtama na Rwangwa tuombwe radhi kwa kejeli zote tulizoelekezewa .
Toa Maoni yako .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app