NAPE fungua hapa kuna zawadi yako

179313_157352860981857_100001214312304_319376_2304488_n.jpg
Samahani, mbona hii ni kama zizi la nguruwe! Au macho yangu yananidanganya!.
 
kuna wazazi wana raha kweli..swala la kumnunulia mwanae nguo halipo kichwani mwake

Wengi wa wazazi wa watoto hawa unawakuta wao wenyewe wamevaa MASURUMPWETE...Hela ataipata wapi ya kumnunulia mwanae nguo hali yeye mwenyewe mzazi anatembea kalio moja liko njee kutokana na matobo kwenye suaruali??!!

Hali vijijini huko si nzuri kabisaaa!!!! Hapa inawezekana hawa wamevaa BEST SUNDAY zao hapo!!!!! Ndio wamejikwatua kwa kupiga picha:)
 
Wengi wa wazazi wa watoto hawa unawakuta wao wenyewe wamevaa MASURUMPWETE...Hela ataipata wapi ya kumnunulia mwanae nguo hali yeye mwenyewe mzazi anatembea kalio moja liko njee kutokana na matobo kwenye suaruali??!!

Hali vijijini huko si nzuri kabisaaa!!!! Hapa inawezekana hawa wamevaa BEST SUNDAY zao hapo!!!!! Ndio wamejikwatua kwa kupiga picha:)
siku kipata hedhi anavaa nini? matambara yenyewe siyaoni humo..au majani?
 
kila mmoja ajiulize hapo alipo amesaidia wangap si kifedha tu bali hata ktk hali nyingine ya kujitolea,sio tu mnaisema serikal wakat hamjawah fanya hata jitihada binafsi ni maneno tu
 
Kiherehere cha kaziranfuka, kutwa wangu wangu kutafuta mafisadi wakati wanasabisha hali tete kama hii. Naona na kitambi kinaota kwa kwennda mbele. Magambazi hao.
 
Hayo madara yaliyojengwa kwa fito yapo mengi sana Tanzania. Ukipita hata wlaya ya Bagamoyo kuna shule za namna hiyo. Safari yetu kwenda katika maendeleo ni ndefu sana.
 
Umezaliwa mjini umekulia mjini,utayajua wapi ya vijijini juha wewe.
Tena juha umempendelea sana,hilo ***** kabisa!!!mnakaa dar hapa unaona picha hizo za somalia!!Hata dar huijui!!Unafahamu kuna wilaya ya ilala vijijini na watu hawa wengi tu !!Mijitu mibishi inanikera sana mimi,sijui tuifanyaje!!!Nenda mikoani huko utaona vituko kama sio vioja.
 
Back
Top Bottom