kuna wazazi wana raha kweli..swala la kumnunulia mwanae nguo halipo kichwani mwake
Hizi picha hazijapigwa Tanzania!
Give evidence!!!
St ulaaniwe hizi picha umetengeneza mwenyewe.....ili kuiponda serikali tukufu ya CCM....
Huko ndio CCM inakotupeleka. Tukiendelea na CCM muda si mrefu tutawapita hao kwa mbali kwa ufukaraUsijitazame wewe, tazama alie chini yako :
Kabla ya miaka 50 hakukuwa na picha za langi uwe mkweli wtz hawadanganyikihizi picha zilipigwa miaka 50 kabla ya uhuru.
mh!, hii kali, halafu tunasema elimu ni ufunguo wa maisha!
Inakera sana hommiee!!Thank you Ivuga, this thread shall live forever!!!
Inauma sana aisee..........
mama shelukindo anadai tunawachafuaThank you Ivuga, this thread shall live forever!!!
Inauma sana aisee..........
Hommie kusema ukweli inatia uchungu sana... halafu kajamaa kanapita kanachekacheka tu!!Inakera sana hommiee!!
Yule mama kapoteza dira, kapoteza utu na sasa anajivua nguo hadharanimama shelukindo anadai tunawachafua
hivi nape anapaka carolite , midomo mweusiii au ni picha tuKwani hawa ni watu gani ati?????????
scrub wanapakaga na Nyani Ngabuhivi nape anapaka carolite , midomo mweusiii au ni picha tu
Acha tu yaani ukiwasikia kule bungeni unaweza kutapika yaani jitu linatumia dakika kumi kati ya kumi na tano kusifia ujinga wakati kule kijijini watu wanakufa kwa njaa!!Hommie kusema ukweli inatia uchungu sana... halafu kajamaa kanapita kanachekacheka tu!!
mhhh FF mpenzi wangu penye ukweli tuseme......hali mbaya.Usijitazame wewe, tazama alie chini yako :
Photoshop siku hizi jaman!!!
anataka tuangalie chini, wakati lengo letu ni kwenda juumhhh FF mpenzi wangu penye ukweli tuseme......hali mbaya.
mama shelukindo anadai tunawachafua[/QUOTE]