kindocharuwa
Member
- Sep 11, 2012
- 14
- 7
sasa natambua kwanini chama cha mapinduzi kimekupa hiyo nafasi kijana mwenzetu!! kumbe nafasi hiyo inatumikiwa na watu wenye majungu fitina na wasiokuwa na weledi wa kuelezea mambo! naomba nikupe tahadhari kuwa kumtoa baba mwenye nyumba nje ya nyumba yake siyo jambo la siku moja unaanza kumsogeza kwanza sebuleni kisha barazani na baadae unamtoa nje ya geti kabisa!!! kupata kata 5 siyo jambo dogo tena bwana Nape, tazama nguvu ya chama cha mapinduzi imebaki vijijini ila mjini ni kushne huko tunapoenda cdm wakifanikiwa kuingia vijijini ujiandae kuwa mpinzani. sifungamani na upande wowote!!!!!!